Baba Levo: Ningekuwa Mwanamke ningemzalia Diamond watoto watatu

Baba Levo: Ningekuwa Mwanamke ningemzalia Diamond watoto watatu

chongoe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,183
Reaction score
2,871
Dah...

Kupitia mtandao wa Instagram, Baba Levo ameandika:

"KWA WEMA ALIONITENDEA DIAMOND PLATNUMZ KAMA ningekuwa Demu ningemzalia Watoto WATATU. NAMSHANGAA SANA ZUCHU...!Ndio maana NIMEKASHUSHA NA SUKARI ZAKE Youtube. Kwakweli #SHUSHA IMENIPA HESHIMA KILA KONA YA MTAA... THANKS BIG"

 
Dah...

Kupitia mtandao wa Instagram, Baba Levo ameandika:

"KWA WEMA ALIONITENDEA DIAMOND PLATNUMZ KAMA ningekuwa Demu ningemzalia Watoto WATATU. NAMSHANGAA SANA ZUCHU...!Ndio maana NIMEKASHUSHA NA SUKARI ZAKE Youtube. Kwakweli #SHUSHA IMENIPA HESHIMA KILA KONA YA MTAA... THANKS BIG"


Ooohooo Njaa ndio ishaponza Matako ya Baba levo. Kifuatacho ni ....
 
Nilisikiliza walevi wawili wakibishana, mmoja akasema akasema "huku ni kujipendekeza kuliko pitiliza "
Mwingine akauliza swali "wewe unafikiri kusafiria nyota ya mwenzako ni mchezo mchezo eti ehhhhe pumb... V zako"
 
Nilisikiliza walevi wawili wakibishana, mmoja akasema akasema "huku ni kujipendekeza kuliko pitiliza "
Mwingine akauliza swali "wewe unafikiri kusafiria nyota ya mwenzako ni mchezo mchezo eti ehhhhe pumb... V zako"
 
IMG_20210130_123255.jpg
 
Back
Top Bottom