Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afanyacho ni kuishika news media upande wa social media, na kafanikiwa!Hizi sifa za baba levo kwa diamond zimezidi sasa. Amefikia kuwishi kumzalia watoto? No no no, anasema angekuwa mwanamke angemzalia diamond watoto watatu. Mlio karibu naye mshaurini jamani imetosha sasa.View attachment 1689962
Kwa hali hiyo unadhani Mama Levo atagoma[emoji848][emoji848][emoji848]Kwa maana hiyo Sasa, mond akitana mtaro baba levo anatoa
Unataka akose ugali?Si bora angesema Diamond angekuwa demu ningemzalisha Watoto watatu!
Mwanaume hupaswi kufikiria kuwa Mwanamke hata njia ya Mfano tu!
Sasa huyu Mtoto toka Kigoma yeye kafilria kuwa demu, akawaza kuingiliwa kimwili, then akawaza kaingiliwa bila ya condom tena aingiliwe na Diamond!
Astahfirullah, sasa mkiwa chemba Domo akiomba ku test mitambo inakuaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee cc bhana lol,Bora mumwambie mwanaume mwenzenu..anatia aibu
😥😥🙌Bora mumwambie mwanaume mwenzenu..anatia aibu
Atake na apewe mara ngapi? Sema wameshindwa kujiongeza ku adopt, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa maana hiyo Sasa, mond akitana mtaro baba levo anatoa