uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Vizuri tuPerhaps, Na chapati unapika?
Sa chapati si ndio rahisi kabisa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri tuPerhaps, Na chapati unapika?
Yah kwenye usafi mwanamke akipika hotelini jitahidi usione anapopikiaHua migahawa wapishi wakiwa wanaume wenzangu nakula nikiwa na amani sana, wanawake kwenye upishi wanasifiwa bure tu hawa watu wachafu mno, ndio maana machef mahiri na maarufu duniani ni wanaume,
Hii kamba aisee!habari ya kupika nilishawahi kuunguza yai la kuchemsha
Hua migahawa wapishi wakiwa wanaume wenzangu nakula nikiwa na amani sana, wanawake kwenye upishi wanasifiwa bure tu hawa watu wachafu mno, ndio maana machef mahiri na maarufu duniani ni wanaume,
Nilikua najaza ream paper kutoa maelezo ya Uchungu, ila nimesoma tena ndo nikaona Hilo neno la mgahawa/hotelini ndiyo limekua remarkable😂😂 ndo mashetani yakatulia. So ni kwa wa mahotelini tu.Yah kwenye usafi mwanamke akipika hotelini jitahidi usione anapopikia
🙌🙌Ipo sababu yangu nayokuona nayo, why unaona wakati wa kuoa bado.😂😂😂Vizuri tu
Sa chapati si ndio rahisi kabisa mkuu
Good, nimeipenda hiii comment,Safi kijanaFor taste
Mi sio kataa ndoa wakati ukifika naoa😂
Bado kidogo🙌🙌Ipo sababu yangu nayokuona nayo, why unaona wakati wa kuoa bado.😂😂😂
Wanaume ndiyo machef wanajuwa sanaHua migahawa wapishi wakiwa wanaume wenzangu nakula nikiwa na amani sana, wanawake kwenye upishi wanasifiwa bure tu hawa watu wachafu mno, ndio maana machef mahiri na maarufu duniani ni wanaume,