Kweli eeeh! unaonaje tukitoroka leo ?
Ngoja nisogee kitandani leo nitalala vizuri sana,so the problem is Mlinzi Wozoza but Lizzy is ok with the idea! yeees! bye CM bye Rev.Ahhh sorry I cnt....Siunamuona WWZ hapo....yani nikikata kona ninae...nikifunga breki huyo!!!
Uporoto ushindwe, tumekuona kwenye maono unataka kuharibu nyumba ya Mchungaji, Kamati ya maombi tunapeleka taarifa kwa Mchungaji. Subiri mwenyekiti Wiselady anakuja sasa hivi.
Ahhh sorry I cnt....Siunamuona WWZ hapo....yani nikikata kona ninae...nikifunga breki huyo!!!
Shem....is you not trust in me????:twitch:
LD nadhani mchungaji atakua anakuandalia kacheo flani hivi ndani ya kanisa!!!!Sasa hivi yani.......:clap2:
:twitch:Uporotooo please usiniweke matatizoni!!!!!:sick:
LD na Wozoza tuna utani na Lizzy na Rev. akirudi atathibitisha,samahani kama nimewakwaza,usiku mwema.
Yani sijui katumwa!Maana ananifata kila niendako!
Yani sijui katumwa!Maana ananifata kila niendako!
Umenipa kiu ya gafla!Lizzy asante sana kwa mapokezi mazuri! Kwa baba Mchungaji yupo gado kama mnavyoona mama mchungaji na shughuli zake
Lizzy asante sana kwa mapokezi mazuri! Kwa baba Mchungaji yupo gado kama mnavyoona mama mchungaji na shughuli zake