Baba mchungaji is coming hooome!!!

Lizzy, mwambie massa tunafanya logistics za kufanyia ministry yake audit.......tutadetermine pia matumizi yako kama ni kwa personal au ministirial purposes.
 
Lizzy, mwambie massa tunafanya logistics za kufanyia ministry yake audit.......tutadetermine pia matumizi yako kama ni kwa personal au ministirial purposes.

Kazi za Kitume hazina Auditing! Hiyo hufanywa na Mungu mwenyewe
 
Uwiii!Yani sherehe nimeandaa kuwakutanisha wasaliti wa mama mchungaji!Ngoja nikae pembeni kabla presha haijapanda!
Usikae pembeni, njoo huku, come this way!
 
Huwa haendi sokoni wala magengeni! Waumini hufanya shopping kwa mama Mchungaji. Kumbuka ni mama wa kiroho huyu
Wakina mama wengine ndo wanaleta vyakula,ww na mama mchngj mnawaombea matika roho na kweli....that is, matumizi ya wamama wengine ni katika mwili?
 
Afadhali Bigi umekuja...naona hawa watu wanatamani hata nisingekuwepo hapa!
Mwanaume asiyekulinda ni sawa na mchungaji alaye kondoo wake huku akicbagua aliyenona.
 
Jamani wewe..mbona tafsiri yake simple tu!Maziwa ya kutosha!

Ahaaaa kumbe hivyo, hapo nimekupata.
Sasa mbona ukaipindua hiyo kiswahili au msamiati mpya huo?
Au ni furaha ya kutoka jela kwa mchungaji, najua ulikuwa umemmisooo!!
 
Wakina mama wengine ndo wanaleta vyakula,ww na mama mchngj mnawaombea matika roho na kweli....that is, matumizi ya wamama wengine ni katika mwili?

karibu sana babu ila angalia wasijekukupa habari za uzushi ukamtema bibi yangu wa ukweli!yasijekuwa ya mzee madiba roho itauma
 
Yani sijawahi kuona mtu anapokelewa kwa mbwembwe hivi alafu attention kwingine!Embu twende zetu!
Twenzetu mamaa, masa ajutie
Alipendwa na kujaliwa, yeye kakuchukulia poa.
Hata akija kwa neno,eti mpende adui yako,
Mweleze utampenda adui ukiwa kwangu.....
 
ulinikuta kwa dimbwi la tatizo ukajidai eti napita tu,mi sikupendi honestly,mchungaji na arudi......namsubiri hapa hapa......bora awe na mpango wa kando kuliko wewe.........lol:a s 20::a s 20:

mpango wa kando???????????????????????
 
Karibu sana baba Mchungaji,huyu mama Mchungaji majukumu yalimshinda sina hamu nae............:coffee:
Nimejifunza mama mchungaji si mchungaji.......lol
Hi Michelle!akifika tu huyo baba mchungaji naomba mnijulishe akaniongoze maombi niweze kulitatua kirahisi lile changanyiko langu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…