world without end
Member
- Jul 17, 2016
- 57
- 47
nakwanini unadhani Masanja ni false prophet??The Bible teaches us how to distinguish false from true prophets. Follow the Bible!!!
I have not said that. Am only reminding you that the Bible guides us on how to distinguish false from genuine servants. Judge any servant from his deeds not from his proclamationsnakwanini unadhani Masanja ni false prophet??
Usitamani mke wa mtu!!! Tena mke wa mchungajiWamependeza sana wanawake modal nawapenda sana kama uyo kavaa kapendeza
Mkuu huwa sitamani kabisa mali ya mtu mwingine....Mama mchungaji sijamtani bali nimempa sifa yake tuUsitamani mke wa mtu!!! Tena mke wa mchungaji
Utaotolea wapi, utumishi vitendo sio manenoKwa jinsi walivyovaa Biblia Takatifu inatufundisha kuwa utaweza kuwatambua kama ni nkweli wachungaji wa Kanisa la Mungu au watumishi wa kitapeli. Hivi vitu havijifichi. Mtumishi wa Mungu haachi maswali na hata akijifanya kwamba hamfahamu Mungu atajulikana tu kuwa ni mtumishi wa Mungu. Kumbuka Petro alipojaribu kusema hamfahamu Yesu na akaanza kuondoka ila waliokuwepo wakasema kuwa hata anavyotembea inadhihirisha yeye ni mtu wa Kristo. Je kwa muonekano wa Masanja, yeye ni mtumishi wa Mungu aliye hai????
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Makofi kwa models tafadhali [emoji122][emoji122][emoji122]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuu hakuna black hata mmoja? Inawezekana Masanja anatumia ulokole kama mwamvuli!
Mpaka sasa ni bikraeti dada alikuwa bikra huyu?
Mmmh hicho kilimo gani mama? Siyo kwa utajiri ule alionao![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesahau anajishughulisha na 'kilimo' pia mkuu.
Na nadhani ataendelea kuwa bikra all the timeMpaka sasa ni bikra
Kilimo cha mpunga mkuu. Ndivyo ambavyo yeye husema.Mmmh hicho kilimo gani mama? Siyo kwa utajiri ule alionao!
Una uhakika gani kama ana mahusiano yoyote na hao watu?... Inawezekana wamekutana beach jamaa wameomba picha ya pamoja...usipende ku conclude vitu vingine kwa picha...na hizo inaonesha ni dalili kabisa za wivu tena wakikeMasanja is an institution. Angalia hao vifamba waliojipanga hapo, hamna black hata moja ukiambiwa masanja ana bmw sio kwammba ni ule mpunga anaolima kule kyela peke yake au vitunguu maji anavyolima pale ruvu, there are pple behind him
Acha tamaa.Amenitamanisha sana watoto wabichi,
Natamani nioe tena kimwana kingine kipya.