Baba mchungaji na Mama mchungaji

Amenitamanisha sana watoto wabichi,
Natamani nioe tena kimwana kingine kipya.
 
Masanja is an institution. Angalia hao vifamba waliojipanga hapo, hamna black hata moja ukiambiwa masanja ana bmw sio kwammba ni ule mpunga anaolima kule kyela peke yake au vitunguu maji anavyolima pale ruvu, there are pple behind him
 
Utaotolea wapi, utumishi vitendo sio maneno
 
Masanja is an institution. Angalia hao vifamba waliojipanga hapo, hamna black hata moja ukiambiwa masanja ana bmw sio kwammba ni ule mpunga anaolima kule kyela peke yake au vitunguu maji anavyolima pale ruvu, there are pple behind him
Una uhakika gani kama ana mahusiano yoyote na hao watu?... Inawezekana wamekutana beach jamaa wameomba picha ya pamoja...usipende ku conclude vitu vingine kwa picha...na hizo inaonesha ni dalili kabisa za wivu tena wakike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…