Luks is part of fruit.That is what I have been telling the guy. Let us not judge them by their looks but by their fruits. Sa ka mchungaji ndo kawa hivyo, kondoo zake je?
Fuateni maneno yangu na sio matendo yangu.maana kwa Yale maombi ya kukemea kwenye ndoa yake ni inversely proportional na huto tu kaptura!
au ndo uchungajo wa mwendokasi??!!
OyeeeeeeeeeeeTeam models oyeeeeeeeeeeeeeeeee......
watu wafukunyuku [emoji23] [emoji23] [emoji23]eti dada alikuwa bikra huyu?
Mbona vipo. Tembelea madukani.Ah inanipa limit ya nguo...mie madela tu kwa kwenda mbele nashndwa kuvaa vikaptula kama huyo.......
Kwa hili Mungu atupe macho ya rohoni, Mungu hadhihakiwi...Kwa jinsi walivyovaa Biblia Takatifu inatufundisha kuwa utaweza kuwatambua kama ni nkweli wachungaji wa Kanisa la Mungu au watumishi wa kitapeli. Hivi vitu havijifichi. Mtumishi wa Mungu haachi maswali na hata akijifanya kwamba hamfahamu Mungu atajulikana tu kuwa ni mtumishi wa Mungu. Kumbuka Petro alipojaribu kusema hamfahamu Yesu na akaanza kuondoka ila waliokuwepo wakasema kuwa hata anavyotembea inadhihirisha yeye ni mtu wa Kristo. Je kwa muonekano wa Masanja, yeye ni mtumishi wa Mungu aliye hai????
ZanziberiWamependeza wachunga kondoo wa Bwana, sijui hiyo honeymoon ni wapi hapo
Luks is part of fruit.
Eve alipoona tunda hakusubiri tasting, immediately aliona linatamanisha.
Uchungaji kasomea wapi? Lini kahitimu.
Tanzania nzima ukiuliza hata kwa watoto, kuhusu profession ya Masanja utaambiwa ni comedian
Msifanye mchezo na wajasiriamali.
Mahaba yasiwapofushe makcho
Hapa vijana wengi sana wataumia wanatamani wangekuwa na maisha ya Masanja lakini ndiyo hvyo tena haiwezekani, ukipitia comment nyingi hapa watu wanamponda kupitia mgongo wa uchungaji wake!! Lakini tukubali jamaa katuacha mbali sana kimaisha ila nafasi ipo ya kupambana
Nyuma Ipi?
Nyuma as in siku zilizopita?
Au nyuma as in 0713?
Nauliza tu