Baba mchungaji na Mama mchungaji

Baba mchungaji na Mama mchungaji

That is what I have been telling the guy. Let us not judge them by their looks but by their fruits. Sa ka mchungaji ndo kawa hivyo, kondoo zake je?
Luks is part of fruit.
Eve alipoona tunda hakusubiri tasting, immediately aliona linatamanisha.


Uchungaji kasomea wapi? Lini kahitimu.

Tanzania nzima ukiuliza hata kwa watoto, kuhusu profession ya Masanja utaambiwa ni comedian

Msifanye mchezo na wajasiriamali.
Mahaba yasiwapofushe makcho
 
Kwa jinsi walivyovaa Biblia Takatifu inatufundisha kuwa utaweza kuwatambua kama ni nkweli wachungaji wa Kanisa la Mungu au watumishi wa kitapeli. Hivi vitu havijifichi. Mtumishi wa Mungu haachi maswali na hata akijifanya kwamba hamfahamu Mungu atajulikana tu kuwa ni mtumishi wa Mungu. Kumbuka Petro alipojaribu kusema hamfahamu Yesu na akaanza kuondoka ila waliokuwepo wakasema kuwa hata anavyotembea inadhihirisha yeye ni mtu wa Kristo. Je kwa muonekano wa Masanja, yeye ni mtumishi wa Mungu aliye hai????
Kwa hili Mungu atupe macho ya rohoni, Mungu hadhihakiwi...
 
Hapa vijana wengi sana wataumia wanatamani wangekuwa na maisha ya Masanja lakini ndiyo hvyo tena haiwezekani, ukipitia comment nyingi hapa watu wanamponda kupitia mgongo wa uchungaji wake!! Lakini tukubali jamaa katuacha mbali sana kimaisha ila nafasi ipo ya kupambana
 
  • Thanks
Reactions: ram
Luks is part of fruit.
Eve alipoona tunda hakusubiri tasting, immediately aliona linatamanisha.


Uchungaji kasomea wapi? Lini kahitimu.

Tanzania nzima ukiuliza hata kwa watoto, kuhusu profession ya Masanja utaambiwa ni comedian

Msifanye mchezo na wajasiriamali.
Mahaba yasiwapofushe makcho

Kwani aliyekwambiauchungaji lzm usomee nani?

You ppl ifike mahali muelewe,taratibu za kibinadamu sio si za Mungu!

Kuna ambao Mungu anawatumia tena kwa viwango vya juu sn na hawajasomea!..

Mungu anaweza kumtumia yyt anaemtaka bila kujali elimu!

#hiyo sio kwa masanja,nimeongele in general#
 
Hapa vijana wengi sana wataumia wanatamani wangekuwa na maisha ya Masanja lakini ndiyo hvyo tena haiwezekani, ukipitia comment nyingi hapa watu wanamponda kupitia mgongo wa uchungaji wake!! Lakini tukubali jamaa katuacha mbali sana kimaisha ila nafasi ipo ya kupambana

Kweli kabisa,upo sahihi!
Wivu tu
 
Back
Top Bottom