Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Wakatoliki na waislam wanasheherekea upendo na huruma ya Mwenyezi Mungu kwa binadamu huko Indonesia.
Makanisa na misikiti ni nyumba za Mwenyezi Mungu kwani ndani yake hutajwa sana.
Imamu mkuu na papa wamekumbatiana kwa upendo na utu mkubwa.
Papa alikuwa msikitini leo...
#Say No To Bigotry [emoji7]
#Say No To Racism[emoji7]
#Say No To Religious hatred[emoji7]
Makanisa na misikiti ni nyumba za Mwenyezi Mungu kwani ndani yake hutajwa sana.
Imamu mkuu na papa wamekumbatiana kwa upendo na utu mkubwa.
Papa alikuwa msikitini leo...
#Say No To Bigotry [emoji7]
#Say No To Racism[emoji7]
#Say No To Religious hatred[emoji7]