Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Wanabodi mnisaidie....!kuna dada mmoja niko nae katika mahusiano sasa inafikia mwezi..huyo dada ana mtoto mmoja amezaa na kaka mmoja yupo mkoani..ila tokea alivyo mbebesha mimba jamaa alimtelekeza,mpaka huyo dada alipojifungua, jamaa akaja kumcheki mtoto alafu akapotea tena kama mwaka mmoja na nusu..jamaa akipigiwa simu hapokei,akaja kumcheki mtoto Pasaka mwaka huu.akapotea tena mpaka hapa juzi aliposikia huyu dada amepata mpenzi(yaani ndo mimi)ameanza kumsumbua katika simu kila siku anampigia anambembeleza naona na huyu dada kama mashart ameanza kulegeza..!wakati tulipoanza mahusiano kila siku alikua anasimbua nimwambie kuwa tuwe wote pamoja..mimi nikawa ninamwambia MDA NDO UTASEMA,sababu nilikua nina wasiwasi baba mtoto aliezaa nae asije akarudi ikawa tete,nilikua nikimwambia kuhusu mzazi mwenzie anadai hawezi kuwa nae tena,,eti alishanawa..ushauri niendelee au