Baba mwenye nyumba hata akiagiza watu wapigwe risasi hadharani bado atapata watetezi tu

Baba mwenye nyumba hata akiagiza watu wapigwe risasi hadharani bado atapata watetezi tu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hivyo ndivyo ninavyoweza kuhusu Banana Republic ya Bongo, ambayo imejaa baadhi ya watu wabinafsi na wenye kujipendekeza mpaka wanatia kinyaa na kuwa tayari kutetea kila jambo linalofanywa na huyo wanaemuona kwao ni kama Mungu Mtu kisa tu ana nafasi ya kuweza kuwafanya waishi vizuri japo ni kwa muda tu.

Kwa kifupi, watu hawa ni kikundi cha watu wachache wanaonufaika na mfumo uliopo au wenye matazamio ya kuja kunufaika na mfumo huo iwapo watamfurahisha mfalme ikiwa ni pamoja na kutetea kila alifanyalo hata liwe baya au la hovyo kiasi gani.

Hivyo,kuna uwezekano mkubwa wa watu hawa kuunga mkono maamuzi yoyote ya mfalme hata akisema watu watandikwe risasi hadharani mradi tu wao wapate wanachokitaka.

Inaboa mno.
 
Wewe hata mama yako akitandikwa risasi hadharani utaunga mkono maamuzi hayo mradi tu upewe cheo.
Kuna pahala nimesema hivyo.

Lakini wewe ina maana uko tayari kupingana na lolote la Magufuri.?
 
Kuna mtu atakuja kupata aibu ya karne (ima ndani au nje ya ofisi). Ipo siku!
 
Na hata akisema Nusu ya Ufalme wake Apewe Mbowe bado atapata wapingaji tu!
 

Attachments

  • IMG-20210130-WA0091.jpg
    IMG-20210130-WA0091.jpg
    38.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom