fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Huyo mtangazaji wa tbc ni mbunifu sana,na ndio maana huwa anachukua tuzo ya mtangazaji bora afrka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtangazaji ni mbunifu sana
tayari kabisaUzi tayari
ndio hivi sasa yupo hewani na kupindi chake cha papasoyupo bado tbc?
Za kina nyanda masome, na za wakulya miaka ya 2009/2010 utasikia tu Tivoli record😅Anapenda Sana kupiga ngoma za wasanii wa Mara na mwanza ndani ndani huko
Ndiyo ngoma zake Kaka ,si mda utashangaa anaweka ngoma ya best nasso _Tuma ,Sasa vitoto vya elfu mbili haviwezi kumpenda baba Arungu maana vitahisi ni nyimbo za watu wasioelewekaZa kina nyanda masome, na za wakulya miaka ya 2009/2010 utasikia tu Tivoli record😅
Umejuaje mzeeHawezi maliza kipindi bila kupiga Ngoma ya best nasso
Kuna yule mwenzake na bestie Naso Jina Limenitoka tuNdiyo ngoma zake Kaka ,si mda utashangaa anaweka ngoma ya best nasso _Tuma ,Sasa vitoto vya elfu mbili haviwezi kumpenda baba Arungu maana vitahisi ni nyimbo za watu wasioeleweka
🤣Chief maker na best nasoKuna yule mwenzake na bestie Naso Jina Limenitoka tu
Mda wa swali la leo za mgongo zinakuhusu 😂Za kina nyanda masome, na za wakulya miaka ya 2009/2010 utasikia tu Tivoli record😅
cisa madini au sagna iveta.Kuna yule mwenzake na bestie Naso Jina Limenitoka tu
Chief mekaKuna yule mwenzake na bestie Naso Jina Limenitoka tu
Ndio kinini hiki sasaGusa, achia, twende robo fainalii
Hiki ulichokomenti kinauhusiano gani na mada.Gusa, achia, twende robo fainalii
Amebuni kitu gani?Huyo mtangazaji wa tbc ni mbunifu sana,na ndio maana huwa anachukua tuzo ya mtangazaji bora afrka