I M
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 434
- 767
UTANGULIZI
MUHIMU: Kisa hiki ni cha kweli sio hadithi ya kusimuliwa wala kufikirika na nitakiandika kama ninvyokikumbuka. Kisa nitakiandika kwa ufupi na kukigawa iwe rahisi kusomeka.
ANGALIZO; Majina yote ya wahusika yaliyotumika sio halisi.
WAHUSIKA
Nikiwa hometown nafanya kazi sehemu wakati nasuburi kuingia chuo baada ya kumaliza kidato cha sita miaka kadhaa iliyopita nilifahamiana na Kendrick na girlfriend wake Magie kupitia boss wangu.
Kendrick alikua videographer na producer, saivi yupo media moja maarufu nchini Tanzania na Maggie alikua anasoma diploma chuo X. Maggie alikua na tabia ya kuja sana ofisini hivyo nilimzoeana zaidi kuliko Kendrick.
Siku zikasogea nikapata chuo. Nikiwa chuoni nikakutana na Florian tukawa marafiki, tunaosoma coarse moja pia tunatoka mkoa mmoja.
Kama wengi mjuavyo mambo ya vyuoni, vijana wengi hujifunza kuutumia uhuru wao kwa mara ya kwanza na kuanza kujaribu mambo mengi.
Rafiki yangu Florian alikua na girlfriend mkoa mwingine na chuo chetu kilipo, hivyo weekend kadhaa alienda huko kumuona. Ni kama masaa manne hivi kwa bus, maana ni mikoa inayopakana.
Florian ana rafiki yake mwingine anaitwa Charles hapo chuoni na urafiki wao ulianza kabla ya chuo. Charles alikua ni mtu mjanja janja sana ukilinganisha na sisi wengine.
At this point, almost all important characters have been established.
Kisa kinaanza, Siku moja karibia na semister ya kwanza kuisha nikiwa room, Florian aliniambia yuko na mgeni anataka anitambulishe then wao jioni wataenda kulala nyumba za wageni (Lodge).
Nikawakaribisha waje room, walipofika na kuwafungulia mlango, kumbe! mgeni ni Maggie. Maggie baada ya kuniona alishtuka sana, Florian akauliza mnajuana? Maggie akajibu, ananijua kupitia boss wangu nilipokua nafanya kazi kabla ya chuo na nilikua naendelea kila likizo.
Tukapiga story za hapa na pale, Maggie ni mchangamfu sana hivyo jioni ni kama iliwahi kufika wakasepa. Japo kwa Florian ilikua inachelewa sana 😆
Baada ya kama dakika moja wao kuondoka, Maggie alinitumia text, kafurahi kuniona ila naomba nimtunzie siri akipata nafasi atanieleza vizuri. Kijana sikutaka makuu kwa lolote nikawaacha vijana wakaichafue miili yao.
Itaendelea .....
MUHIMU: Kisa hiki ni cha kweli sio hadithi ya kusimuliwa wala kufikirika na nitakiandika kama ninvyokikumbuka. Kisa nitakiandika kwa ufupi na kukigawa iwe rahisi kusomeka.
ANGALIZO; Majina yote ya wahusika yaliyotumika sio halisi.
WAHUSIKA
Nikiwa hometown nafanya kazi sehemu wakati nasuburi kuingia chuo baada ya kumaliza kidato cha sita miaka kadhaa iliyopita nilifahamiana na Kendrick na girlfriend wake Magie kupitia boss wangu.
Kendrick alikua videographer na producer, saivi yupo media moja maarufu nchini Tanzania na Maggie alikua anasoma diploma chuo X. Maggie alikua na tabia ya kuja sana ofisini hivyo nilimzoeana zaidi kuliko Kendrick.
Siku zikasogea nikapata chuo. Nikiwa chuoni nikakutana na Florian tukawa marafiki, tunaosoma coarse moja pia tunatoka mkoa mmoja.
Kama wengi mjuavyo mambo ya vyuoni, vijana wengi hujifunza kuutumia uhuru wao kwa mara ya kwanza na kuanza kujaribu mambo mengi.
Rafiki yangu Florian alikua na girlfriend mkoa mwingine na chuo chetu kilipo, hivyo weekend kadhaa alienda huko kumuona. Ni kama masaa manne hivi kwa bus, maana ni mikoa inayopakana.
Florian ana rafiki yake mwingine anaitwa Charles hapo chuoni na urafiki wao ulianza kabla ya chuo. Charles alikua ni mtu mjanja janja sana ukilinganisha na sisi wengine.
At this point, almost all important characters have been established.
Kisa kinaanza, Siku moja karibia na semister ya kwanza kuisha nikiwa room, Florian aliniambia yuko na mgeni anataka anitambulishe then wao jioni wataenda kulala nyumba za wageni (Lodge).
Nikawakaribisha waje room, walipofika na kuwafungulia mlango, kumbe! mgeni ni Maggie. Maggie baada ya kuniona alishtuka sana, Florian akauliza mnajuana? Maggie akajibu, ananijua kupitia boss wangu nilipokua nafanya kazi kabla ya chuo na nilikua naendelea kila likizo.
Tukapiga story za hapa na pale, Maggie ni mchangamfu sana hivyo jioni ni kama iliwahi kufika wakasepa. Japo kwa Florian ilikua inachelewa sana 😆
Baada ya kama dakika moja wao kuondoka, Maggie alinitumia text, kafurahi kuniona ila naomba nimtunzie siri akipata nafasi atanieleza vizuri. Kijana sikutaka makuu kwa lolote nikawaacha vijana wakaichafue miili yao.
Itaendelea .....