Baba mzazi halisi wa mtoto atabaki kama siri ya mama mzazi

Baba mzazi halisi wa mtoto atabaki kama siri ya mama mzazi

Yani malaya mmoja ndo kakufanya uje na hilo hitimisho? Huyo Maggie alikuwa mwingi tu asietulia kwa mtu mmoja anataka dude zote ziwe zake na John alionekana baada ya kujipata, ndo maana wanauliwa wanaume wengine huwezi wafanyia huo ushenzi, wahusika wa kiume karibia wote walipiga, huoni km hilo ni gumegume
 
  • Thanks
Reactions: I M
Yani malaya mmoja ndo kakufanya uje na hilo hitimisho? Huyo Maggie alikuwa mwingi tu asietulia kwa mtu mmoja anataka dude zote ziwe zake na John alionekana baada ya kujipata, ndo maana wanauliwa wanaume wengine huwezi wafanyia huo ushenzi, wahusika wa kiume karibia wote walipiga, huoni km hilo ni gumegume

Sijafanya hitimisho kua wote wako hivyo ila ukiachana na DNA mama ndio ananafasi kubwa ya kujua huyu mtoto ni wa nani.

Kuna visa vingi mwanaume ukiwa na hela haya majukumu unapewa kirahisi. Sema hichi kimezidi. Kuna uwezekano kuna ambao siwajui.
 
IMG-20240826-WA0003.jpg
 
Ha
Sijafanya hitimisho kua wote wako hivyo ila ukiachana na DNA mama ndio ananafasi kubwa ya kujua huyu mtoto ni wa nani.

Kuna visa vingi mwanaume ukiwa na hela haya majukumu unapewa kirahisi. Sema hichi kimezidi. Kuna uwezekano kuna ambao siwajui.
Ukiwa kicheche hata mama mwenyewe unaweza usimjue nani baba wa mtoto! Hata huyo John sio baba mtoto,

Kuna mwanamke namfahamu alipataga mimba miaka km 10 iliyopita hakujua nani muhusika mpk mtoto alipozaliwa na akajua baba ni yupi!
 
Ha
Ukiwa kicheche hata mama mwenyewe unaweza usimjue nani baba wa mtoto! Hata huyo John sio baba mtoto,

Kuna mwanamke namfahamu alipataga mimba miaka km 10 iliyopita hakujua nani muhusika mpk mtoto alipozaliwa na akajua baba ni yupi!
Mimi pia nahisi huyo John sio baba wa mtoto ila nimechukua maneno yake kama ndio taarifa rasmi.

At least mama anajua asilimia 100 mtoto ni wa kwake, hii kwa baba haipo.
 
Mimi pia nahisi huyo John sio baba wa mtoto ila nimechukua maneno yake kama ndio taarifa rasmi.

At least mama anajua asilimia 100 mtoto ni wa kwake, hii kwa baba haipo.
Nyingine ilitokea Uganda mwanamke kapata mapacha wa baba tofauti!!!

Story yako demu ni cha wote huhitaji kukaza sana, tabia yake usiijumuishe kwa wote na kutupa utukufu usiokuwepo, mtoto ni wa mama mara mama ndo ajuae baba wa mtoto bla bla blaàa hamna kitu visingizio vya umalaya tu
 
  • Thanks
Reactions: I M
Nyingine ilitokea Uganda mwanamke kapata mapacha wa baba tofauti!!!

Story yako demu ni cha wote huhitaji kukaza sana, tabia yake usiijumuishe kwa wote na kutupa utukufu usiokuwepo, mtoto ni wa mama mara mama ndo ajuae baba wa mtoto bla bla blaàa hamna kitu visingizio vya umalaya tu
Uko sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom