mara mtoto kaudusu kwa sauti, baba tafumilia au tacheka?
Kwahiyo na wewe ni mzungu mweusi?Sawa kabisa bwana mzungu. Naunga mkono hoja
Hapana. Mi hata sithubutu kuweka mazoea ya ukaribu sana na binti yangu wa miaka 7. Mi kauzungu kangu ni ka kuitwa daddy badala ya baba. Najiona bonge la mjanja uswahilini na kijijiniKwahiyo na wewe ni mzungu mweusi?
Safi sana, iko poaHapana. Mi hata sithubutu kuweka mazoea ya ukaribu sana na binti yangu wa miaka 7. Mi kauzungu kangu ni ka kuitwa daddy badala ya baba. Najiona bonge la mjanja uswahilini na kijijini
Hongera sana kwa hilo.Hapana. Mi hata sithubutu kuweka mazoea ya ukaribu sana na binti yangu wa miaka 7. Mi kauzungu kangu ni ka kuitwa daddy badala ya baba. Najiona bonge la mjanja uswahilini na kijijini
Kulipia ada English medium schools si mambo ya kitoto ujue. Acha niitwe daddy nami nionekane wa kishua bhana LOLHongera sana kwa hilo.
Ila acha pia huo uzungu wa kuitwa daddy[emoji6]