Baba na mwana

Status
Not open for further replies.
Hao wenye malezi yao ni akina nani mkuu?

Sent using mazonge yamezidi
 
Mkuu nipo tofauti na wewe kidogo, kwanini tulee watoto wetu kma wazungu ilihali sisi ni waafrika? kwanini mzungu halei mtoto wake kma mwafrika? Mbona wahindi wanamiaka kibao huku kwetu lkn wanalea watoto wao kwa culture ya kwao sisi weusi tuna shida sehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ni nini sidhan kama kulikua na haja ya kupiga picha
Mama ndo kaipiga hii picha au ni kakakee?? Sidhani ka ni haki imetendeka kwa huyo binti. Hata ka ni mapenzi kwa mwanangu hapo ni zaidi na amevuka mpaka. Mamake atapewa nini tena!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…