Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi
Baada ya serikali majuzi kufungia vituo vya television vilivyokuwa vimepanga kurusha tukio la kihuni la kikundi cha RAO kujiapisha mahakama ilitoa amri kwa vituo hivyo kufnguliwa mara moja lakini hadi leo Baba wa demokrasia amegoma kabisa...
Ikumbukwe kwamba kuwa uhuru amekuwa akisifiwa sana kuwa ni baba wa demokrasia hapa africa lakini kitendo chake cha kuendelea kugomea na kukaidi agizo la mahakama imeendelea kuwatia shaka walio kuwa wanamuita Baba wa demokrasia baada ya kuruhusu uhuni wa RAO.
Wengi walimsifu Uhuru kwa kuruhusu kile kitendo lakini wachache tulijua ilikuwa danganya toto tuu na ndio maana hadi sasa walio husika wana kamatwa mmoja mmoja na aliyebaki ni Odinga kwani hakuna nchi inaweza ruhusu maigizo kama yale lakini sasa uhuru ameanza kuonesha ngozi yake halisi......
Baada ya serikali majuzi kufungia vituo vya television vilivyokuwa vimepanga kurusha tukio la kihuni la kikundi cha RAO kujiapisha mahakama ilitoa amri kwa vituo hivyo kufnguliwa mara moja lakini hadi leo Baba wa demokrasia amegoma kabisa...
Ikumbukwe kwamba kuwa uhuru amekuwa akisifiwa sana kuwa ni baba wa demokrasia hapa africa lakini kitendo chake cha kuendelea kugomea na kukaidi agizo la mahakama imeendelea kuwatia shaka walio kuwa wanamuita Baba wa demokrasia baada ya kuruhusu uhuni wa RAO.
Wengi walimsifu Uhuru kwa kuruhusu kile kitendo lakini wachache tulijua ilikuwa danganya toto tuu na ndio maana hadi sasa walio husika wana kamatwa mmoja mmoja na aliyebaki ni Odinga kwani hakuna nchi inaweza ruhusu maigizo kama yale lakini sasa uhuru ameanza kuonesha ngozi yake halisi......