Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisikia akiongea kuhusu fuba la makinikia na kukiri ilikua bosheni 🤣🤣🤣Profesa Kabudi aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ndiye BABA wa mikataba na mwenyekiti wa timu za kitaifa za majadiliano ya mikataba.
Huu mkataba wa bandari umepitaje mikononi mwake ukiwa na mapungufu haya?
Alikiri fuba la makinikia ilikua bosheni 🤣🤣🤣Hakushirikishwa hata chembe,katoswa na wagumu wapigaji
Angekuwepo mzee Mkinga (RIP) angefyatuka liwalo na liweProfesa Kabudi aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ndiye BABA wa mikataba na mwenyekiti wa timu za kitaifa za majadiliano ya mikataba.
Huu mkataba wa bandari umepitaje mikononi mwake ukiwa na mapungufu haya?
Unaelewa kilicho ulizwa!!??Alikiri fuba la makinikia ilikua bosheni 🤣🤣🤣
Sasa hapa nan kaonyesha akili kisoda? Kazungumzia umuhim wa mzee wa jalalani kuhusu negotiation ya mikataba, nami nikampa reference ambayo yeye alikua chief negotiator still walifanya bosheni!!Unaelewa kilicho ulizwa!!??
Wabongo iq zenu ni ndogo sana. Mtu anauliza hv ww unaleta utani ule. Ndio maana mnauzwa mchana kweupe
Huyo hafai alidanganya kwenye makinikia pia ile dawa ya corona kutoka nchi jirani sijui hatima yake iliishia wapi. Ikamwagwe kwenye bwawa la kuzalisha umemeProfesa Kabudi aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ndiye BABA wa mikataba na mwenyekiti wa timu za kitaifa za majadiliano ya mikataba.
Huu mkataba wa bandari umepitaje mikononi mwake ukiwa na mapungufu haya?
Tanzania tumefika hapa tulipo kwasababu ya unyumbu, mimi nautambua unyumbu kama tabia ya watu wanaofikiri vizuri kujitoa ufahumu kwasababu ya msimamo wa kundi fulani kwa malengo yao. Herding behavior is an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objective or fear in this case fearing their leadersProfesa Kabudi aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ndiye BABA wa mikataba na mwenyekiti wa timu za kitaifa za majadiliano ya mikataba.
Huu mkataba wa bandari umepitaje mikononi mwake ukiwa na mapungufu haya?
Mkuu,Angekuwepo mzee Mkinga (RIP) angefyatuka liwalo na liwe
Mfumo wa utawala Serikalini ni mwendelezo wa utawala wa kikoloni ambao ulirithishwa kwa watawala weusi. Ulaghai uliotumika kupata ardhi kwa mababu zetu ambao hawakuona umuhimu wa kupinga ndio unaoifanya Serikali kuwa na mamlaka zaidi ya wanaoiweka madarakani. Kimsingi Serikali ndio mkoloni na mtawala wetu.Ila maza akatuambia kuwa Wana kazi maalumu kumsaidia pale ikulu so alikuwa anatupooza Naona. Ila huu mfumo wa serikali ulibuniwa sijui na Nani na yupo hapo Askari mnyonge mwenzenu anawadhibiti anawalinda wakubwa wakunyonye vizuri na yeye ananyonywa Ila hajijui
Angekuwepo mzee Mkinga (RIP) angefyatuka liwalo na liwe
Hapana atoke aeleze anachofahamuAmeshasema kwa muda aliobakiza duniani bora a deal na wajukuu zake tu ndio anavyotaka kumalizia umri wake.
Hii nchi ukiwa mzalendo kweli ni hatari hata kwa maisha yako.