Baba wa Mke aliyeuawa na kuchomwa moto aridhika na Hukumu

Baba wa Mke aliyeuawa na kuchomwa moto aridhika na Hukumu

Pascal_TZA

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
27
Reaction score
76
Baba mdogo wa marehemu Naomi Marijani ambaye aliuawa na kuchomwa moto na magunia mawili ya mkaa, Robert Marijani amesema kuwa kama familia wameridhika na Hukumu iliyotolewa leo na upande wao sasa wanajiandaa kuzika upya mabaki ya mwili wa Naomi, baada ya kesi kumalizika.

Marijani ameyasema hayo leo February 26,2024 alipokuwa akizungumza na baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kumuhukumu mfanyabiashara, Khamis Luwongo, kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mke wake Naomi Marijani na kisha mwili wake kuuchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na lita tano za matuta ya taa na kuchukua majivu pamoja na mabaki ya mifupa yake na kwenda kuyazika katika shamba lake lililopo kijji cha Marogoro, Wilaya ya Mkuranga.

Pia soma > Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa


View: https://youtu.be/JLaDS44zq0M?si=TyI6xAeCV8o0nh-R
 
Baba mdogo wa marehemu Naomi Marijani ambaye aliuawa na kuchomwa moto na magunia mawili ya mkaa, Robert Marijani amesema kuwa kama familia wameridhika na Hukumu iliyotolewa leo na upande wao sasa wanajiandaa kuzika upya mabaki ya mwili wa Naomi, baada ya kesi kumalizika.

Marijani ameyasema hayo leo February 26,2024 alipokuwa akizungumza na baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kumuhukumu mfanyabiashara, Khamis Luwongo, kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mke wake Naomi Marijani na kisha mwili wake kuuchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na lita tano za matuta ya taa na kuchukua majivu pamoja na mabaki ya mifupa yake na kwenda kuyazika katika shamba lake lililopo kijji cha Marogoro, Wilaya ya Mkuranga.


View: https://youtu.be/JLaDS44zq0M?si=TyI6xAeCV8o0nh-R

Kwa kiasi fulani adhabu hiyo inapunguza maumivu japokuwa haisaidii kurejesha roho iliyopotea
 
Kinachonikwaza tu hii hukumu sijawahi kusikia imetekelezwa, tena wangekuwa wanaweka kabisa kwenye vyombo vya habari labda itapunguza mambo mengine
Hukumu ya kifo huwa inatekelezwa vizuri tu, sio kila kitu utaambiwa

Waulize waliokata jera ya vifungo vya maisha na kunyongwa

Huwa wanaitwa wanafungwa vitambaa vyeusi usoni na kupelekwa jera ya kunyongea Njombe
 
Mkiambiwa msioe mnakaza fuvu aya sasa anaenda kunyongwa mpaka atoe kamasi,jasho, na mavi.
#Kataa Ndoa
Kuoa sio shida ila usioe mwanamke mmoja. Big mistake wanaume wanafanya ni kuoa mwanamke mmoja, akikuzingua lazima utatamani umuue.

Wanaume wengi wabakufa ama kufanya matukio ya hovyo ya kimapenzi ni wale wenye mke ama mpenzi mmoja.

Kama unaamua kuoa basi oa wanawake wengi, kama huwezi badi bora usioe usije kujinyonga ama kuua mtu bure ukafungwa.
 
Kuoa sio shida ila usioe mwanamke mmoja. Big mistake wanaume wanafanya ni kuoa mwanamke mmoja, akikuzingua lazima utatamani umuue.

Wanaume wengi wanakmufa ama kufanya matukio ya hivyo ya kimapenzi ni wale wenye mke ama mpenzi mmoja.

Kama unaamua kuoa basi oa wanawake wengi, kama huwezi badi bora usioe usije kujinyonga ama kuua mtu bure ukafungwa.
mambo ya kuua ua na kujiua ni laana, mtu anaanzaje kuua plus kuchoma mwenzake kisa mapenzi and such...

Nikishakojoa kwa dem simuwazi tena
 
Kinachonikwaza tu hii hukumu sijawahi kusikia imetekelezwa, tena wangekuwa wanaweka kabisa kwenye vyombo vya habari labda itapunguza mambo mengine
Hiyo haotasaidia kitu mkuu.
Boda boda wanakufa kwa ajali kila dakika na bado waaendelea kufa na kufanya makosa ya road.
Vibaka wanachhomwa kila siu huko uswwahilini lakini bado wana kwapua
 
Baba mdogo wa marehemu Naomi Marijani ambaye aliuawa na kuchomwa moto na magunia mawili ya mkaa, Robert Marijani amesema kuwa kama familia wameridhika na Hukumu iliyotolewa leo na upande wao sasa wanajiandaa kuzika upya mabaki ya mwili wa Naomi, baada ya kesi kumalizika.

Marijani ameyasema hayo leo February 26,2024 alipokuwa akizungumza na baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kumuhukumu mfanyabiashara, Khamis Luwongo, kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mke wake Naomi Marijani na kisha mwili wake kuuchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na lita tano za matuta ya taa na kuchukua majivu pamoja na mabaki ya mifupa yake na kwenda kuyazika katika shamba lake lililopo kijji cha Marogoro, Wilaya ya Mkuranga.


View: https://youtu.be/JLaDS44zq0M?si=TyI6xAeCV8o0nh-R

Aliuawa kwa kupigwa risasi , kunyongwa au njia ipi?
 
Back
Top Bottom