Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Nduguze Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

Kwame nkuruma alimshutumubkiwa ni kibaraka wa mabeberu
 
Hapo Mwalimu alikuwa ameshapanua mtazamo na mawazo yake kwa kupata elimu ya mkoloni na kusoma hadi uingereza kwaio si rahisi akalingana na wenzie kimtazamo. Hizo picha hazina uspesho wowote labda kama mnataka tu kumpamba mwalimu.hata hao wazee wengine wangekua na elimu kama ya mwalimu huenda wangekua sawa au hata kumzidi
 
Itoshe kusema nyerere ametutia umasikini sana kielimu, kiuchumi na yaani tuseme alivuruga hii nchi hakuna mfano wake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…