Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Nduguze Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Nduguze Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

Nyerere mzeee wa calculation, Kuna mada ya Mshana Jr alikua anazungumzia picha katika ulimwengu wa roho, nikiangalia hapo Nyerere yupo tofauti na wenzake na kwel ni wa tofauti wenzake walifanya harakati nyingi kwa mda mrefu lkn yeye ndani ya miaka isiyozidi 7 alikamilisha kazi
Kwame nkuruma alimshutumubkiwa ni kibaraka wa mabeberu
 
Hapo Mwalimu alikuwa ameshapanua mtazamo na mawazo yake kwa kupata elimu ya mkoloni na kusoma hadi uingereza kwaio si rahisi akalingana na wenzie kimtazamo. Hizo picha hazina uspesho wowote labda kama mnataka tu kumpamba mwalimu.hata hao wazee wengine wangekua na elimu kama ya mwalimu huenda wangekua sawa au hata kumzidi
 
Itoshe kusema nyerere ametutia umasikini sana kielimu, kiuchumi na yaani tuseme alivuruga hii nchi hakuna mfano wake....
 
Back
Top Bottom