inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwame nkuruma alimshutumubkiwa ni kibaraka wa mabeberuNyerere mzeee wa calculation, Kuna mada ya Mshana Jr alikua anazungumzia picha katika ulimwengu wa roho, nikiangalia hapo Nyerere yupo tofauti na wenzake na kwel ni wa tofauti wenzake walifanya harakati nyingi kwa mda mrefu lkn yeye ndani ya miaka isiyozidi 7 alikamilisha kazi