Geen
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 286
- 86
Kabisa.......hakungekuwa na kodi,school fees,sijui matumizi nk kama jogoo vile.....akishamaliza basi majukumu yote ya kuku
Nani kawadanganya wanyama hawana mambo haya??ni baadhi tu ndio hawana but most of them wana pride zao na wake,chunguza maisha ya simba na ndege ,tena kuna aina ya ndege wanakuwa patners for life,akifa mmoja ,mwingine anakaa bila kugonga hadi anakufaa