Baba yake Mbwana Samatta amuijia juu kocha Morocco kuhusu kumwacha mwanaye kwenye kikosi cha stars

Baba yake Mbwana Samatta amuijia juu kocha Morocco kuhusu kumwacha mwanaye kwenye kikosi cha stars

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
"Inaonekana kuna aina Fulani ya chuki kutokana na mafanikio ya mwanangu Mbwana, bado Mbwana ana nafasi kubwa sana katika timu ya taifa, Samatta na Msuva ni wachezaji muhimu sana kwenye taifa letu, kwa asilimia kubwa wao ndio wamesababisha tufuzu kucheza AFCON zote mbili

"Kwenye kombe la dunia 1966, Pele alipata majeraha dhidi ya Ureno lakini mechi iliyofuata alicheza kwa sababu alipigwa sindano ya ganzi na wakawa wanamuogopa sababu yupo nje; hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwa Samatta vivyo hivyo kwa Msuva.

Nimesikia jana kocha Moroco ameita timu na Msuva na Samatta hawajaitwa. Hawa ni wachezaji muhimu. Samatta ni kama Hirizi ya Taifa Stars. Siwezi kumwambia astaafu, lakini nasikia alipeleka barua, lakini hajanishauri na angenishauri ningemwambia asipeleke. Moroco amefanya makosa kutowaita Samatta na Msuva “

Soma Pia: Samatta, Msuva watupwa nje kikosi cha Taifa Stars kufuzu afcon 2025

Kocha Hemed Morocco amekosea sana kuwaacha Samatta na Simon Msuva, Mzee Ally Samatta Baba mzazi wa Mbwana Samatta.

#FutbalPlanetUpdates
Screenshot_20240827-142911.jpg

USSR
 
"Inaonekana kuna aina Fulani ya chuki kutokana na mafanikio ya mwanangu Mbwana, bado Mbwana ana nafasi kubwa sana katika timu ya taifa, Samatta na Msuva ni wachezaji muhimu sana kwenye taifa letu, kwa asilimia kubwa wao ndio wamesababisha tufuzu kucheza AFCON zote mbili

"Kwenye kombe la dunia 1966, Pele alipata majeraha dhidi ya Ureno lakini mechi iliyofuata alicheza kwa sababu alipigwa sindano ya ganzi na wakawa wanamuogopa sababu yupo nje; hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwa Samatta vivyo hivyo kwa Msuva

Kocha Hemed Morocco amekosea sana kuwaacha Samatta na Simon Msuva, Mzee Ally Samatta Baba mzazi wa Mbwana Samatta.

#FutbalPlanetUpdates

USSR
Moroko mabega yamezidi kichwa, huo uhuru wanaompa wanaua team. Binafsi kwa kocha mzawa ningempa team Mgunda.
 
"Inaonekana kuna aina Fulani ya chuki kutokana na mafanikio ya mwanangu Mbwana, bado Mbwana ana nafasi kubwa sana katika timu ya taifa, Samatta na Msuva ni wachezaji muhimu sana kwenye taifa letu, kwa asilimia kubwa wao ndio wamesababisha tufuzu kucheza AFCON zote mbili

"Kwenye kombe la dunia 1966, Pele alipata majeraha dhidi ya Ureno lakini mechi iliyofuata alicheza kwa sababu alipigwa sindano ya ganzi na wakawa wanamuogopa sababu yupo nje; hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwa Samatta vivyo hivyo kwa Msuva

Kocha Hemed Morocco amekosea sana kuwaacha Samatta na Simon Msuva, Mzee Ally Samatta Baba mzazi wa Mbwana Samatta.

#FutbalPlanetUpdates

USSR
Alishachoka huyo.
 
Samatta akiwekwa pembeni kijana mwingine anapata nafasi ya kuonyesha uwezo wake, mpira ni mchezo wa mafanikio ya pamoja na siyo kwaajili ya mafanikio ya mtu mmoja na ndo maana inaitwa Tanzania national team, tukifungwa tumefungwa wote na tukishinda tumeshinda wote na siyo kwaajili ya mtu mmoja.

Kocha siyo mjinga aheshimiwe maamuzi yake
 
Binafsi naona samata anahitajika, hiyo ni kwangu mimi.

Lakini mwalimu asilaumiwe kabla ya matokeo, asubiri timu icheze ndio itajulikana alikuwa sahihi ama si sahihi.

Luiz felipe scolari alimuacha fundi ROMARIO na akarudi na kombe la dunia hakuna aliyemlaumu kama hapo awali wakati anataja majina ya wachezaji kikosini.
 
Samatta akiwekwa pembeni kijana mwingine anapata nafasi ya kuonyesha uwezo wake, mpira ni mchezo wa mafanikio ya pamoja na siyo kwaajili ya mafanikio ya mtu mmoja na ndo maana inaitwa Tanzania national team, tukifungwa tumefungwa wote na tukishinda tumeshinda wote na siyo kwaajili ya mtu mmoja.

Kocha siyo mjinga aheshimiwe maamuzi yake
Kabisa...kuna vijana wazuri wengi..
 
Back
Top Bottom