Baba yake Mbwana Samatta amuijia juu kocha Morocco kuhusu kumwacha mwanaye kwenye kikosi cha stars

Baba yake Mbwana Samatta amuijia juu kocha Morocco kuhusu kumwacha mwanaye kwenye kikosi cha stars

Hawa makocha wanaipenda na upepo ndio tabia yao. Wanajifanya makocha wakubwa.l hakuna Cha maana halafu timu ikifungwa ndio unaona washabiki, waandishi wa habari wanapiga kelele.
 
"Inaonekana kuna aina Fulani ya chuki kutokana na mafanikio ya mwanangu Mbwana, bado Mbwana ana nafasi kubwa sana katika timu ya taifa, Samatta na Msuva ni wachezaji muhimu sana kwenye taifa letu, kwa asilimia kubwa wao ndio wamesababisha tufuzu kucheza AFCON zote mbili

"Kwenye kombe la dunia 1966, Pele alipata majeraha dhidi ya Ureno lakini mechi iliyofuata alicheza kwa sababu alipigwa sindano ya ganzi na wakawa wanamuogopa sababu yupo nje; hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwa Samatta vivyo hivyo kwa Msuva.

Nimesikia jana kocha Moroco ameita timu na Msuva na Samatta hawajaitwa. Hawa ni wachezaji muhimu. Samatta ni kama Hirizi ya Taifa Stars. Siwezi kumwambia astaafu, lakini nasikia alipeleka barua, lakini hajanishauri na angenishauri ningemwambia asipeleke. Moroco amefanya makosa kutowaita Samatta na Msuva “

Soma Pia: Samatta, Msuva watupwa nje kikosi cha Taifa Stars kufuzu afcon 2025

Kocha Hemed Morocco amekosea sana kuwaacha Samatta na Simon Msuva, Mzee Ally Samatta Baba mzazi wa Mbwana Samatta.

#FutbalPlanetUpdates

USSR
Huyu mzee atupishe. Mbwqna Samatta hatumdai kitu kwa vile amekwisha toa kila alichonacho kwa timu ya Taifa, huu ni muda wa yeye kucheza ligi zisizo na ushindani huko Greece/ Cyprus
 
Binafsi naona samata anahitajika, hiyo ni kwangu mimi.

Lakini mwalimu asilaumiwe kabla ya matokeo, asubiri timu icheze ndio itajulikana alikuwa sahihi ama si sahihi.

Luiz felipe scolari alimuacha fundi ROMARIO na akarudi na kombe la dunia hakuna aliyemlaumu kama hapo awali wakati anataja majina ya wachezaji kikosini.
Kwan game ngapi anacheza na tunafungwa
 
"Inaonekana kuna aina Fulani ya chuki kutokana na mafanikio ya mwanangu Mbwana, bado Mbwana ana nafasi kubwa sana katika timu ya taifa, Samatta na Msuva ni wachezaji muhimu sana kwenye taifa letu, kwa asilimia kubwa wao ndio wamesababisha tufuzu kucheza AFCON zote mbili

"Kwenye kombe la dunia 1966, Pele alipata majeraha dhidi ya Ureno lakini mechi iliyofuata alicheza kwa sababu alipigwa sindano ya ganzi na wakawa wanamuogopa sababu yupo nje; hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwa Samatta vivyo hivyo kwa Msuva.

Nimesikia jana kocha Moroco ameita timu na Msuva na Samatta hawajaitwa. Hawa ni wachezaji muhimu. Samatta ni kama Hirizi ya Taifa Stars. Siwezi kumwambia astaafu, lakini nasikia alipeleka barua, lakini hajanishauri na angenishauri ningemwambia asipeleke. Moroco amefanya makosa kutowaita Samatta na Msuva “

Soma Pia: Samatta, Msuva watupwa nje kikosi cha Taifa Stars kufuzu afcon 2025

Kocha Hemed Morocco amekosea sana kuwaacha Samatta na Simon Msuva, Mzee Ally Samatta Baba mzazi wa Mbwana Samatta.

#FutbalPlanetUpdates

USSR
Yeye kuwa baba take Mbwana siyo tiketi ya kuwa juu ya Kocha.
 
Pele wa brazil hajawahi fungwa na brazil yake? Vipi messi,de lima je, maradona je? Cr7!? Vipi zizzou. Hiyo barcelona bora nayo ilifungwa, ina messi, iniesta, xavi, sergio.

Lakini umeelewa nilichoandika?
Jukwaa limeingiliwa hili mkuu kuna comment unaiangalia kabisa unajua huyu kaanza kuufuatilia mpira baada ya kununua smartphone
 
Mzazi anasahau Tz ni familia moja ila yenye watu wengi kuliko hao wanaomzunguka hapo kwake.

Ukiongozwa na hisia siku zote utaishia kuonekana mjinga maana utashindwa kuwasilisha hoja.
 
Kwani timu ya mbwana au ya Tanzania, huyo Samata mwenyewe hana msaada kabisa kwenye timu,, amekua galasa tu
 
Watu wanataka Samatta afanye maajabu bila kuangalia amezungukwa na watu wa Aina gani?
Huwepi wa Samatta ni faida kubwa kwa timu ya taifa kwani timu pinzani wanakuwa wanamchunga zaidi yeye matokeo yake inaeapa mwanya wachezaji wengine hii ndio sababu ya Msuva kufunga Mara nyingi.
Tanzania sio timu kubwa kujiona kwamba Samatta haitajiki, mafanikio ya vilabu kiasi kikubwa yameletwa na wachezaji wa kigeni.
 
Moroco ni kocha wa hovyo hafai kuifindisha taifa stars anaendeshwa na mihemko yupo pale kisiasa kwakua anatokea Zanzibar na ameshalijua hilo na ndo linampa kiburi
 
Back
Top Bottom