Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

Mungu niguse

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
272
Reaction score
729
Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.

Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki.

Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.

Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".

Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.

Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.

NB: Baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua.
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
 
Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.

Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki .

Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.

Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".

Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.

Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.


NB : baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua .
The logical fallacies here are

Argument from tradition.

Argument from authority.

Non sequitur.
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
hakunaga mshindi kwenye vinyongo na visasi
 
Back
Top Bottom