Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

Baba yako ndo chanzo chako hivyo ukimkataa lazima ukose baraka

Kama ulimkimbia imekula kwako mkuu,maneno mengi kumbe umekataliwa pewa mtoto.

Baraka kwio.
Cc: Diamond
 
Kama yeye alinikataa, hamna cha baraka wala nini hapo ubaya ubwela tu
 
Bila mayai ya mama hizo mbegu za baba ni takataka tu.

Hazina tofauti na makamasi yanayo tolewa wakati wa kupengwa.

Baraka ni dhana ya kufikirika ya wajinga wanaojipa matumaini uchwara.
 
bila madhara yeyote?
Yapi mkuu,... Nothing is permanent
Watu wamelelewa na wazazi wote wawili tena kwa upendo na bado hakuna liwaendealo vyema,ni shida tupu...
Mwanaume akimbie mtoto Useme huyo mwanaume ana baraka kwa mtoto? 🤣🤣🤣🤣 Wewe...mi nadhani ni mchawi tu atakayeamini hili...
Watu wasitafute excuse....kama walisusa watoto na wamegomewa ukubwani waendelee na maisha yao,wawaache hao watoto na huko kukosa baraka....Kaburi ni la wote.🙏
 
Nimo nimo kiasi Kaka sema ndiyo vile hii lugha inataka kujiamini Sana .

Ndiyo maana nikichanganyaga maneno kuntu Kama haya wote wanaishia kuniangalia kwa huruma maana hawaelewi
Wewe mpaka kikaldayo cha kale unakichapa wacha visa. 😂😂😂.
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Hii ndio mifano halisi why wanaume tunautofauti mkubwa sana na wanawake.
Hujui huyo baba ako amechukua risk kiasi gani madeni hadi unamaliza chuo, at the end unakuja kumlaumu kwasababu ya birthday sijui graduation inasikitisha
 
Hii ndio mifano halisi why wanaume tunautofauti mkubwa sana na wanawake.
Hujui huyo baba ako amechukua risk kiasi gani madeni hadi unamaliza chuo, at the end unakuja kumlaumu kwasababu ya birthday sijui graduation inasikitisha
Nyie mnajua kutoa hela hamjui kulea ndio maana tunawapenda sana mama zetu..!
 
Nyie mnajua kutoa hela hamjui kulea ndio maana tunawapenda sana mama zetu..!
Hivi unadhani baba ako angekuwa anakupa huo muda unaohitaji wa birthday, graduation na sherehe za ajabu ajabu angepata wapi muda wa kutafuta pesa za kukusomesha jaribu tu kutumia common sense
 
Wakina baba huwa mnazingua sana, mnachojua ni kutoa hela tu ila sio kulea kwa upendo.

Nilimtumia baba angu msg whatsApp 'Baba jumamosi ya tar 2_ ni graduation yangu ya chuo' ila hiyo msg haijajibiwa mpaka kesho zaidi ya tick ya blue.

Miezi imepita NINA KINYONGO NAE..!
Ni Sawa mwanaume hawezi kaa kufikiria sijuwi graduation akaacha kuwa mambo ya msingi.
 
Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.

Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki.

Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.

Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".

Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.

Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.

NB: Baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua.
ok
ni wapi au lini aliniuliza kama natakuja kwenye hii dunia yake, wakati yeye ni choka mbovu?
 
Baba ndo chanzo chako yeye ndo mbegu na yeye ndo amesababisha wewe kuzaliwa.

Lazima ukae vizuri na baba yako ili akubariki.

Ni kosa kubwa kumtenga baba yako na kumkimbia utazokosa baraka.

Mama mzazi Ana "wish" Ila baba mzazi Ana "say ".

Hakikisha unakaa vizuri na baba yako huyo ndo kila kitu na ndo nguvu yako ya uzima.

Kwa wale ambao baba zao wameshafariki hakikisha unakuwa na ibada maalumu kila mwaka ya kumuombea Baba yako mzazi.

NB: Baraka ni pamoja na kuwa na akili nzuri yenye kujitambua.
Una uhakika gani kama huyo unayemwita baba ndiye babako wewe? Mmeanza kutapatapa baada ya visingo maza kuwafungeni magoli kwa kufaulu kuwalea watoto bila kuteteleka!
 
Back
Top Bottom