msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,734
Waungwana baba yangu, baba yenu wengi wenu ni babu yenu mida hii ya saa kumi kaingizwa chumba cha upasuaji hapa hospitali ya Namanga Tegeta.
Nakuombeni sana dua zenu atoke salama ili hatimae arudi nyumbani Tabora akiwa mzimaa na kuugana na familia yake Insha Allah Ameen
Nakuombeni sana dua zenu atoke salama ili hatimae arudi nyumbani Tabora akiwa mzimaa na kuugana na familia yake Insha Allah Ameen