People stukeni, yawezekana ni kweli jamaa yetu ana uguza, ila kwa maeneo hayo, halafu kwenda moja kwa moja kwamba unauza heka moja milion 20, napata wasiwasi. Je mleta Tangazo, ulishawai kutangaza kwamba unauza hicho kiwanja, lets say kwa gharama hiyo hiyo milion 20, bila kuainisha kwamba Mzee wako anaumwa halafu ukakosa mteja? Watu wengi wamekuwa na doubt kutokana na maelezo mengi uliyoandika, kiwanja ni kikubwa na ni kizuri, am sure ungeandika tu kwamba kinauzwa hata milion 25, bila kuweka hayo maelezo mengine ungepata mteja. Kuweni makini wana JF
[HASHTAG]#TooGoodToBeTrue[/HASHTAG]