Baba yangu Mchawi... Anatuangamiza, nifanyeje?!

Baba yangu Mchawi... Anatuangamiza, nifanyeje?!

dah...pole sana jamani..Muombe Mungu akusaidie wanaopinga uchawi haupo hayajawatokea
Hizi roho chafu zipo tena zimezagaa la muhimu ni kushikilia imani yako na kumuomba Mungu kwa nguvu zote ili akuepushe.
 
Pole sana usikate tamaa endelea kumwomba Mungu na usali katika yale makanisa yanayovunja nguvu za giza hakika hakuna kiunachomshinda Mungu.
Jamani kuna viumbe wakatili hata kwa watoto wao wenyewe!
 
Nataka nimchane Laivu, ila sijui ndo makombora yote atayaelekeza kwangu?
Mchanie tuu hawezi kufanya lolote sana sana ndio atakuogopa, halafu siri moja ya wachawi hawamuamini mtu wanafikiriaga kila mtu ni
mchawi ila wanazidiana hapo dingi anaweza zania nawewe ni mchawi naunamjua siku mingi, tena mtishie akiendelea na mchezo wake utammaliza kabisa, fanya hivyo ili uokoe ndugu zako na familia kwa ujumla
 
Well Said...kumtegemea mungu pekee ndio kimbilio la wote wanajaribiwa na shetani.

Mimi kama mimi siamini uchawi upo na najua nikikaa na wewe ukanielewesha vizuri nitakupa sababu kwa most of hivyo vitu. NIngekushahuri uache uoga maana uoga wako wenyewe ndio utakusababishia matatizo.
Nauna unaamuni Mungu yupo, basi endelea kumtegemea. Usisemi jibu linachelewa, Jibu litakuja when needed, kwa sasa Mungu anajua bado unanguvu la kujishindia hapo, kupitia imani yako. Kumbuka Mungu hawezi kumwacha shetani akujaribu juu ya nguvu yako.
Jaribu kum-ignore na kuendelea maisha kama kawaida, achana nae kwa muda na wala usimuogope kabisa.
 
Mkuu Pole sana....matatizo yako ni makubwa. so sad. muombe mungu...mtangulize mungu kwa kila jambo....nashindwa kuelewa kwann huyu baba yenu anawafanyia ukatili mkubwa kiasi hicho...imagine damu yake mwenyewe inaitenda hivi...je watu back inakuwaje?.....hana roho ya ubinadamu huyu mtu naamini ameshajitoa kwenye kundi la binadamu. POLE SANA MKUU.
@Gaijin;
Umechangia kiasi kwa mie ku-post hii thread baada ya kuona ulivyo-comment kwa mtu mmoja aliyesema kaka yake karogwa. Nikaona na mie nipost hiki kisa changu maana naona imani inaanza kutiswa na ibilisi. Jamani If I could give you details of my story, mtashngaa tunayofanyiwa na huyu mtu. Any way thanks for your comments, will help me to stand still and let God move katika kipindi hiki kigumu. So sad to see the people you grew up together happily going mud for no reason.
Imagine the position of our mom, I cant tell.
 
Back
Top Bottom