Baba yangu Mchawi... Anatuangamiza, nifanyeje?!

dah...pole sana jamani..Muombe Mungu akusaidie wanaopinga uchawi haupo hayajawatokea
Hizi roho chafu zipo tena zimezagaa la muhimu ni kushikilia imani yako na kumuomba Mungu kwa nguvu zote ili akuepushe.
 
Pole sana usikate tamaa endelea kumwomba Mungu na usali katika yale makanisa yanayovunja nguvu za giza hakika hakuna kiunachomshinda Mungu.
Jamani kuna viumbe wakatili hata kwa watoto wao wenyewe!
 
Nataka nimchane Laivu, ila sijui ndo makombora yote atayaelekeza kwangu?
Mchanie tuu hawezi kufanya lolote sana sana ndio atakuogopa, halafu siri moja ya wachawi hawamuamini mtu wanafikiriaga kila mtu ni
mchawi ila wanazidiana hapo dingi anaweza zania nawewe ni mchawi naunamjua siku mingi, tena mtishie akiendelea na mchezo wake utammaliza kabisa, fanya hivyo ili uokoe ndugu zako na familia kwa ujumla
 
Well Said...kumtegemea mungu pekee ndio kimbilio la wote wanajaribiwa na shetani.

 
Mkuu Pole sana....matatizo yako ni makubwa. so sad. muombe mungu...mtangulize mungu kwa kila jambo....nashindwa kuelewa kwann huyu baba yenu anawafanyia ukatili mkubwa kiasi hicho...imagine damu yake mwenyewe inaitenda hivi...je watu back inakuwaje?.....hana roho ya ubinadamu huyu mtu naamini ameshajitoa kwenye kundi la binadamu. POLE SANA MKUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…