Babalevo ambusu mfilipino wa Qatar Airways

Babalevo ambusu mfilipino wa Qatar Airways

Unapo kuwa katika nchi za watu wewe mgeni ndio una wajibika kufahamu wenyeji wana ishi vipi na tamaduni zao

Sio kazi yangu mimi mwenyeji kujua wewe una ishije nq kutakaje na kwa namna yoyote ile mgeni ana takiwa kuchukua taadhari zote zidi ya mwenyeji kwa vitu qmbavyo sio familliar na yeye
Unachosema ni kweli, ila ni vizuri pia ukiwa na wageni ukajua tamaduni zao na kuepuka kufanya yale ambayo yanaweza kuwa taboo kwao.
Ni ustaarabu tu, ndio maana siwezi tembelewa na rafiki yangu mwislamu kwangu halafu nipike kitimoto akiwepo.
 
Tamaduni za watu zinatofautiana ndio maana hata kwenye localization hata kama docs ziko kwa kiingereza, bado watatafuta mtanzania azipitie na afanye marekebisho kwasababu language ni culture, kuna maneno mengine humo yanaweza kuwa kwingine kawaida ila kwa jamio fulani ni matusi au huwezi kuyazungumza kwenye kundi la watu.
Japan Kuna timu inaitwa Kumamoto
 
Mtu kukaa kimya haina maana amechukulia poa. Tuna utani mwingi wa kijinga huku kwetu, ambao tukienda maeneo tofauti ni rahisi kuingia matatizoni.

Kuna Mtanzania alimkumbatia na kumpiga busu mhudumu wa Emirates, pengine alidhani yupo Kitambaa cheupe 🤣 🤣 🤣 🤣 , aliishia kwenda jela.

View attachment 2430423

hii ishu naikumbuka vizuri sana, yule jamaa aliteseka sana, kesi yake ilikwenda karibu mwaka hakuruhusiwa kutoka DUbai, na alipoteza hela nyingi kwa maloya na mwisho akafungwa. alikua akiuza Duka la spare za magari hapa DSM.
 
Alikaa kimya ila baada ya ule mkutano ndipo akaonyesha kutopenda ikabidi aeleweshwe ule ni utani kwa watanzania ni kitu cha kawaida kwa utani kama ule. Kwa sasa ashazoea maana kwa kipindi hicho alikuwa mgeni na sasa ana zaidi ya miaka 3 huko.
Tamaduni za watu zinatofautiana ndio maana hata kwenye localization hata kama docs ziko kwa kiingereza, bado watatafuta mtanzania azipitie na afanye marekebisho kwasababu language ni culture, kuna maneno mengine humo yanaweza kuwa kwingine kawaida ila kwa jamio fulani ni matusi au huwezi kuyazungumza kwenye kundi la watu.
Sexism at top level. Dunia ya sasa, nchi zote zilizoendelea sexism inapigwa vita sana. Magufuli kipindi cha uhai wake angekuwa ni mtu wa kwenda nchi za Ulaya au USA lazima angetuaibisha. Jamaa alikuwa na mtindo wa kutumia wanawake kama chombo chake kikuu cha kutania anapokuwa mbele ya watu. Hata wabongo wengi ambao hawana exposure hili ni tatizo kubwa. Haya mambo unaweza kudhani ni mambo madogo madogo tu lakini impact yake inakwenda mbali, hasa kwenye makuzi ya wanawake. Ni sawa na ile tabia ya wanaume kutania watoto wadogo kabisa wa kike eti ''mchumba''. Au kina mama wengine, hasa uswahilini wakiona mtoto mdogo wa kike ni mrembo wanatania huyu atatuchukulia waume zetu.
 
Mtu kukaa kimya haina maana amechukulia poa. Tuna utani mwingi wa kijinga huku kwetu, ambao tukienda maeneo tofauti ni rahisi kuingia matatizoni.

Kuna Mtanzania alimkumbatia na kumpiga busu mhudumu wa Emirates, pengine alidhani yupo Kitambaa cheupe 🤣 🤣 🤣 🤣 , aliishia kwenda jela.

View attachment 2430423
Watu wengi wajinga huwa wanadhani wakifanya jambo la kijinga wengine wakikaa kimya basi watakuwa wamefurahia.
 
Ndio hicho ninacho kizungumza... mgeni una takiwa kufahamu taratibu zote zilizopo ktk nchi husika...
Nadhani mawazo yako ni ya kijinga kabisa. Sexism ni jambo linalopigwa marufuku duniani kote hivyo mtu yeyote mstaarabu anatakiwa alijue hilo.
 
Nni alifanya? Kama alikaa kimya ni utani, na kama alichukua hatua basi haukuwa utani...
Daa. This is too low my friend! Mtu mjinga tu ndiye anadhani akifanya jambo la kijinga na watu wengine wakikaa kimya basi amepatia.
 
Huyu Chawa pamoja na kukaa town , yale mambo yake ya Kasulu hajaacha.
 
Unapo kuwa katika nchi za watu wewe mgeni ndio una wajibika kufahamu wenyeji wana ishi vipi na tamaduni zao

Sio kazi yangu mimi mwenyeji kujua wewe una ishije nq kutakaje na kwa namna yoyote ile mgeni ana takiwa kuchukua taadhari zote zidi ya mwenyeji kwa vitu qmbavyo sio familliar na yeye
Usitetee ujinga unawezaje kufanya mzaha na mtu ambae hamfahamiani kisa wewe mwenyeji?
 
Mtu kukaa kimya haina maana amechukulia poa. Tuna utani mwingi wa kijinga huku kwetu, ambao tukienda maeneo tofauti ni rahisi kuingia matatizoni.

Kuna Mtanzania alimkumbatia na kumpiga busu mhudumu wa Emirates, pengine alidhani yupo Kitambaa cheupe [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] , aliishia kwenda jela.

View attachment 2430423
Watanzania tuna la kujifunza Hapa,
Sio kila upuuzi Ni wakutafutia kiki
 
hii ishu naikumbuka vizuri sana, yule jamaa aliteseka sana, kesi yake ilikwenda karibu mwaka hakuruhusiwa kutoka DUbai, na alipoteza hela nyingi kwa maloya na mshisho akafungwa. alikua akiuza Duka la spare za magari hapa DSM.
Ujinga Ujinga wa kimasihara unafilisika hivi hivi unajiona[emoji22]
 
Ni muhimu sana kujua tamaduni za watu. Siku moja kulikuwa na mkutano kati ya wadhamini wa kikundi cha wanawake na wanawake hao pamoja na wanajamii huko kilimanjaro.

Baba mmoja katika kuchangia, akasema anamwona mwanamama wa kizungu pale hana mume, kama vipi aende amfanye awe mke wa pili.

Kwa mtanzania ule ni utani kutokana na mila zetu, ila kwake yeye aliona kama ame muharass haukuwa utani.

Sina hakika kwa huyo dada wa Qatar, ila wahudumu wa ndege wameshakutana na mengi atakuwa anajua jinsi ya kuyahandle.

Wazungu huwa hawana huo utani,kuna jamaa pia alijuta kumuita mzugu mchumba,,,wabongo wengi ulimbukeni na ushamba vinawasumbua
 
Sexism at top level. Dunia ya sasa, nchi zote zilizoendelea sexism inapigwa vita sana. Magufuli kipindi cha uhai wake angekuwa ni mtu wa kwenda nchi za Ulaya au USA lazima angetuaibisha. Jamaa alikuwa na mtindo wa kutumia wanawake kama chombo chake kikuu cha kutania anapokuwa mbele ya watu. Hata wabongo wengi ambao hawana exposure hili ni tatizo kubwa. Haya mambo unaweza kudhani ni mambo madogo madogo tu lakini impact yake inakwenda mbali, hasa kwenye makuzi ya wanawake. Ni sawa na ile tabia ya wanaume kutania watoto wadogo kabisa wa kike eti ''mchumba''. Au kina mama wengine, hasa uswahilini wakiona mtoto mdogo wa kike ni mrembo wanatania huyu atatuchukulia waume zetu.
Sas Dr magufuli ametokea wapi na ishu za Bab level
Unasema magufuli Hana exposure unajuwa magufuli kusoma uk kwa miaka miwili sas Hana exposure gani

Muacheni hyu mzee alumzike jmn
 
Back
Top Bottom