DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Alijihisi ana MAZIWA[emoji2]Michael Jackson hakujua mke wa mtu sumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijihisi ana MAZIWA[emoji2]Michael Jackson hakujua mke wa mtu sumu.
Aisee ,JF no kisima Cha habari na maarifa!😃😃😃Mkuu kesi ipo! Atafungwa kwa kosa la kuua bila kukusudia ambayo adhabu yake ni kufungwa maisha! Na kama angeua kwa kukusudia hapo Kitanzi kingemhusu.
Crime of passion ni tofauti. Kutegemea na mazingira. Fuatilia utafahamu.Nafahamu kiasi cha kutosha kujua mtu anayemuua au kumjeruhi mwenzake kwa sababu ya mapenzi ni mhalifu hatari asiyepaswa kukaa uraiani.
Michael Jackson alikua anafanya moonwalk kwa habiba
MJ hakupewa chance ya ku cum,kaloweka tu kadakwaKuloweka Kumeondoa Maisha Ya Mtu
Ile Kitu Ina SumakuMJ hakupewa chance ya ku cum,kaloweka tu kadakwa
Haiwezekani:Kesi ipo, atafungwa maisha kwa upuuzi wake.
NoKesi ipo, atafungwa maisha kwa upuuzi wake.
Umemjibu kisheria kabisa, umenikumbusha mbaliHaiwezekani:
1. Alikuwa kaenda kukata kuni, so panga hakupanga kuwa nalo.
2. Dhana ya kuvamiwa kwake, sikujua ni mke na mtu, nilijua jambaziz.
3. Insanity, hali aliyokuwa nayo kutokana na kushuhudia tukio.
Insanity lazima ithibitishwe na daktari wa magonjwa ya akili, huwezi ukatenda uharimia halafu ukakimbilia kwamba ulikuwa mwendawazimu.Haiwezekani:
1. Alikuwa kaenda kukata kuni, so panga hakupanga kuwa nalo.
2. Dhana ya kuvamiwa kwake, sikujua ni mke na mtu, nilijua jambaziz.
3. Insanity, hali aliyokuwa nayo kutokana na kushuhudia tukio.
Insanity lazima ithibitishwe na daktari wa magonjwa ya akili, huwezi ukatenda uharimia halafu ukakimbilia kwamba ulikuwa mwendawazimu.
Usiusemee moyoHataree sana..uwii
Sitaki mapenzi
...na ina maana MJ wetu wa miaka 25 alishindwa kabisa kujitetea kwa mzee wa makamo wa miaka 48 na kukubali kupigwa tu mapanga hadi kupoteza Uhai? Au ndio yale ya Kunywea na kuwa mdogo kama Piriton unapofumaniwa???Dah Michael Jackson King of POP ametuangusha sana
Kwa kweliUsiusemee moyo