Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Naomba picha ya baruti tasavali🤣Nani aspend 1M kwenye hiyo kichwa kama baruti?
View attachment 2893045
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba picha ya baruti tasavali🤣Nani aspend 1M kwenye hiyo kichwa kama baruti?
View attachment 2893045
Da mau wangu 😍😍😍
🤣🤣🤣🤣 NtakuchapaKitumbua chenyewe kimevunda ndo maana hupati mume.
Muoane tupumzike 😂😂😂Nipe kitumbua nikuoneshe utoto wangu.
hujui baruti zile watoto wanachezea mwaka mpya🤣 zinalia paaaa....Naomba picha ya baruti tasavali🤣
valentines inakaribia linatafuta dangaMuoane tupumzike 😂😂😂
Bora hiyo sheria ipitishwe, tunachoka kuchekaYuniki flawa, umeona ule uzi wa kuanzia sasa kuweka uzi jeiefu kuwe na kutozwa hela?
Sasa si ndo umdangue 😂😂😂valentines inakaribia linatafuta danga
Hana hata kitumbua hili ni dume mbambambaKitumbua chenyewe kimevunda ndo maana hupati mume.
🤣🤣🤣🤣🤣☝️☝️☝️ wivu au wakinitia ni screenshot sio uzuri watu hufuata ni kipochi manyoyaNani aspend 1M kwenye hiyo kichwa kama baruti?
View attachment 2893045
Acha kumkufuru Mungu usije ukahukumiwa humjui mtu tayari sehemu za siri zinaamka punguza wenge humu nikuja kula raha kama unabadili ID ili mchafue mtu wenzako wameshavutwa vyumbani wamepewa vibendi wewe upo umekomaa kama mti wa xmass unashangaa tu simu yako haiiti na ikiita ni voda au tigo ;mesage zinazoingia ni za mitandao kuhusu offer zao umepauka unasubiri baadae uhesabu mabati hadi nasasa. Kazi kuponda wenzako ukiponda tunapendwa nakuongeza siku kwa furaha na hichi kimdom kilicho jichokea maisha kazi uchawi tu.Hana hata kitumbua hili ni dume mbambamba
NimekumissDa mau wangu 😍😍😍
Huna hela wewe tulia kasome umfukuzie asha wa 10 ukalale au upige nyetovalentines inakaribia linatafuta danga
Ina maana mimi hunioni?? au dharau Unique FlowerKama unarafiki unapenda kumuwish jambo zuri mtag mie natag all JamiiForums ,na mzee namkubaligi sana humu. Na wengine wengi.
National Anthem please say a word this is happy new year hujaniwish hata, Lovelovie Joannah Mwachiluwi . Nimewamiss Lenie wote .
Ukimwona mshamba_hachekwi sura kama sufuria lakupikia mawe . Miguu sasa kama fito za kujengea misonge au majiko,eti anasema six pack anayo nahuku tumbo kama mafuriko ya hananga au mambonde ya rufiji mrefu ila anakibamiaNaomba picha ya baruti tasavali🤣
Nimetaja JamiiForums wote jamani best how you doing todayIna maana mimi hunioni?? au dharau Unique Flower
Kulikoni kuniombea mabaya nilichokukosea sasa wewe na familia yako ndio mtakuwa mmevaa machupi makubwa mnaokota vilivyooza buguruni ushindwe na mlegee na hilo group lenu mkisubiria nianguke itakula kwenuMnusurini huyu dada anakoeleka atavaa chupi kichwani tumkute buguruni sokoni anaokota machungwa yalotupwa
I'm cool! Niko napata barbecue hapa QB Mbezi mwisho! Kama huko karibu unaweza kusogea! Nimevaa cap ya kijani kama CCM!🤣😄😄😄 Unique FlowerNimetaja JamiiForums wote jamani best how you doing today