Babe I miss u mwamwa my dear friendz

Babe I miss u mwamwa my dear friendz

Naomba picha ya baruti tasavali🤣
hujui baruti zile watoto wanachezea mwaka mpya🤣 zinalia paaaa....
{557E4B05-1842-4B70-B00B-8E720C2A06D9}.png.jpg
 
Hana hata kitumbua hili ni dume mbambamba
Acha kumkufuru Mungu usije ukahukumiwa humjui mtu tayari sehemu za siri zinaamka punguza wenge humu nikuja kula raha kama unabadili ID ili mchafue mtu wenzako wameshavutwa vyumbani wamepewa vibendi wewe upo umekomaa kama mti wa xmass unashangaa tu simu yako haiiti na ikiita ni voda au tigo ;mesage zinazoingia ni za mitandao kuhusu offer zao umepauka unasubiri baadae uhesabu mabati hadi nasasa. Kazi kuponda wenzako ukiponda tunapendwa nakuongeza siku kwa furaha na hichi kimdom kilicho jichokea maisha kazi uchawi tu.
 
Mnusurini huyu dada anakoeleka atavaa chupi kichwani tumkute buguruni sokoni anaokota machungwa yalotupwa
Kulikoni kuniombea mabaya nilichokukosea sasa wewe na familia yako ndio mtakuwa mmevaa machupi makubwa mnaokota vilivyooza buguruni ushindwe na mlegee na hilo group lenu mkisubiria nianguke itakula kwenu
 
Back
Top Bottom