Babe I miss u mwamwa my dear friendz

Unauwakika wiki hii nimewakataa wenye hela zao wananitoaga out za ukweli . Wewe ukinitoa bar ya kawaida si utalia bure .
Unaweza tumia ml 1 just outing ??? Unaweza mpa demu laki 2 kwa siku?? Huwezi kununua chupi za mdada ya 2k
eh watu mnasiri kumbe out zenu ni 1m Palina ukinitoa utatumia kiasi gani mrembo maana mimi nikikutoa tunatumia afmiambiliπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…