Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
"Mimi ninasema mnadharau kwasababu mmekata tamaa, mnahisi mambo ni yaleyale...aah! ndiyo hivyo bana, CCM watachukua kwa nguvu; hawezi kuchukua kwa nguvu, wakichukua kwa nguvu maana yake mmewaachia, vijana mjiandae, mkipiga kura, mkishinda kataeni kunyang'anywa".
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni akizungumza na wananchi wa mtaa wa Tembo Nyambwela, kata ya Tandika, jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam Novemba 24, 2024 katika mkutano wa kampeni kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni akizungumza na wananchi wa mtaa wa Tembo Nyambwela, kata ya Tandika, jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam Novemba 24, 2024 katika mkutano wa kampeni kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.