Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Nyookoooooooooo!!!Wakuu kesho kuna mchezo wa kukata na shoka baina ya Yanga sc vs mc alger, sasa katika dodoso zangu nimemuuliza mtaalamu mmoja kutoka unguja amenijuza mpaka sasa kwa yeye anavyoona ubao unasoma ni sare ya kufungana.
Anenijuuza kuwa kinyota timu zote hadi hivi sasa zinaoneka zina uwiano sawa.
Japo anadai walonzi wa yanga sc wanapambana kwa udi na uvumba kutafuta bao la ushindi.
View attachment 3204578
Walonzi wa yanga wapambane nyota ya yanga iwe juu ya Mc alger, mpaka sasa uwiano ni sawaNyookoooooooooo!!!
mashabiki wa simba hzi ndio akili walizobaki nazoWakuu kesho kuna mchezo wa kukata na shoka baina ya Yanga sc vs mc alger, sasa katika dodoso zangu nimemuuliza mtaalamu mmoja kutoka unguja amenijuza mpaka sasa kwa yeye anavyoona ubao unasoma ni sare ya kufungana.
Anenijuuza kuwa kinyota timu zote hadi hivi sasa zinaoneka zina uwiano sawa.
Japo anadai walonzi wa yanga sc wanapambana kwa udi na uvumba kutafuta bao la ushindi.
View attachment 3204578
Nikisoma vitu kama Hivi huwa namshukuru Sana Mungu kwa Kunipa Akili Yimamu.
ASANTE MUNGU KWA KUNIPA AKILI TIMAMU
Mkuu usiongee sana weka hela ikufaidishe wewe. Ukiweka ka laki au milioni weekend yako inakua murua kabisa.Wakuu kesho kuna mchezo wa kukata na shoka baina ya Yanga sc vs mc alger, sasa katika dodoso zangu nimemuuliza mtaalamu mmoja kutoka unguja amenijuza mpaka sasa kwa yeye anavyoona ubao unasoma ni sare ya kufungana.
Anenijuuza kuwa kinyota timu zote hadi hivi sasa zinaoneka zina uwiano sawa.
Japo anadai walonzi wa yanga sc wanapambana kwa udi na uvumba kutafuta bao la ushindi.
View attachment 3204578