Babu kutoka unguja kaniambia mechi ya kesho ni sare ya kufungana.

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wakuu kesho kuna mchezo wa kukata na shoka baina ya Yanga sc vs mc alger, sasa katika dodoso zangu nimemuuliza mtaalamu mmoja kutoka unguja amenijuza mpaka sasa kwa yeye anavyoona ubao unasoma ni sare ya kufungana.

Anenijuuza kuwa kinyota timu zote hadi hivi sasa zinaoneka zina uwiano sawa.

Japo anadai walonzi wa yanga sc wanapambana kwa udi na uvumba kutafuta bao la ushindi.
 
Nyookoooooooooo!!!
 
mashabiki wa simba hzi ndio akili walizobaki nazo
 
Kwani huyo Babu yako ndio anacheza mpiara?kama maji yatacheza ndio mc algers atapata sare
 
Huyo babu yako ni Tapeli kama matapeli wengine tulowazoea tayari mkuu!!

Waarabu wakifa chache kesho ni tatu!!
 
Hata Mimi kaniambia kama wewe ila hajasema zitakua goli ngapi na amegoma kusema Timu gani itaingia robo fainali
 
Mkuu usiongee sana weka hela ikufaidishe wewe. Ukiweka ka laki au milioni weekend yako inakua murua kabisa.
 

Attachments

  • Screenshot_20250117_211318_Chrome.jpg
    153.9 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…