Mkuu natafta koti kama hii kwenye picha naweza pata wapiWalibugia kikombe cha babu wao wenyewe kwa hiari yao, wala hamna aliyewashurutisha. Case closed. Neeext!
Kumbe huyu alienda kupata kikiombeWalibugia kikombe cha babu wao wenyewe kwa hiari yao, wala hamna yeyote aliyewashurutisha. Akili ni nywele..... Case closed. Neeext!
Nakubaliana na wewe Ambilikile Mwaisapile ni "MADARA".huyu mzee ameuwa watu wengi sana .anaistahili kupelekwa international crimal court.(icc).in my opinion. wana jf whats your take on this Oldman and his fake medicine # loliondo genocide
Boss, koti kama hizo ni za watu wenye swag ya mwendo kasi, hebu kaa pembeni tafadhali. [emoji38]Mkuu natafta koti kama hii kwenye picha naweza pata wapi
Walibugia kikombe cha babu wao wenyewe kwa hiari yao, wala hamna yeyote aliyewashurutisha. Akili ni nywele..... Case closed. Neeext!
Una ushahidi upi wa kibiolojia kuwa dawa yake imeua watu?mkuu the issue here is not nani kafata mwingine. the issue is taking advantage of desperate people.
sina ushahidi wa ivo ila aliwazuia watu waliyokuwa na virusi vya Hiv kutumia Arvs na aliwashauri kutumia dawa yake(maji yenye rangi ya kijani ).Iyo hatua ya kuwazuia kutumia dawa ya Arvs ilisababisha vifo vyao.Una ushahidi upi wa kibiolojia kuwa dawa yake imeua watu?
Hakuzuia mtu kuacha kutumia dawa nyingine.sina ushahidi wa ivo ila aliwazuia watu waliyokuwa na virusi vya Hiv kutumia Arvs na aliwashauri kutumia dawa yake(maji yenye rangi ya kijani ).Iyo hatua ya kuwazuia kutumia dawa ya Arvs ilisababisha vifo vyao.
Acha kuongea ugoro wenye mchanganyiko na utumbo.sina ushahidi wa ivo ila aliwazuia watu waliyokuwa na virusi vya Hiv kutumia Arvs na aliwashauri kutumia dawa yake(maji yenye rangi ya kijani ).Iyo hatua ya kuwazuia kutumia dawa ya Arvs ilisababisha vifo vyao.
Acha kuongea ugoro wenye mchanganyiko na utumbo.
Aliyeacha dawa hospitalini na kwenda kunywa hiyo dawa na huyo babu nani mjinga?
Kwani wewe uko kwenye hatua zipi maana nawezakuwa nabishana na mtu aliyeacha dawa na kwenda kunywa maji ya mkonge.
Hilo jambo linakupea nyege sanaAlikula pesa nyingi za Wakenya
U were coming in drones just like the way u flock to waganga from Tanzania!Hilo jambo linakupea nyege sana
Hata Kenya pia kuna washamba wengi. Ila sio asilimia kubwa kama Tz, ambapo hata watu wenye Phd zao za 'Chemistry' walipigwa kiboko cha mfukoni na Profesa Ambilikile Mwaisapile Mwakikombile. [emoji23]Alikula pesa nyingi za Wakenya