Babu Seya afunga ndoa na Katibu Tawala(DAS) wa Muheza

Hujui unalolisema we mbwa.
Hii kesi ndiyo inanifanya mpaka leo namuona JK ni mnafiki na mzandiki. Wewe mpori mpori hujui kitu kaa kimya. Sisi watoto wa mjini tunajua A-Z. Enzi inawezekana ulikua kwenu Nachingwea nyau weeee
We hujui kuliko sie tuliokuwa tunamkuta Silent inn na Igongwe disco toto!
Hem mambo mengine na yapite tu!
Nyavu zimekatwa sana shule ya Mugabe , heb mimi!
MXXXXXXIE
 
We hujui kuliko sie tuliokuwa tunamkuta Silent inn na Igongwe disco toto!
Hem mambo mengine na yapite tu!
Nyavu zimekatwa sana shule ya Mugabe , heb mimi!
MXXXXXXIE
Mkuu, inamaana Babu Seya alikua anakata nyavu kwenda KUGEGEDA WATOTO? Au?
 
Kwani kuoa lazima wafanye ngono? We vipi
mkuu nimefarijika kuona kwamba kuna muda huwa unakuwa timamu, mambo vipi lakini ? siku hizi toka msiba utokee hauonekani humu ndani ? au upo chattle unangoja siku ya 40 masihi wenu afufuke 😂 (utani tu huo)
 
Hujui unalolisema we mbwa.
Hii kesi ndiyo inanifanya mpaka leo namuona JK ni mnafiki na mzandiki. Wewe mpori mpori hujui kitu kaa kimya. Sisi watoto wa mjini tunajua A-Z. Enzi inawezekana ulikua kwenu Nachingwea nyau weeee
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Acha uongo

Au mnamuandalia mashtaka mengine ya uongo kwa kuwa mmeiweka serkali mfukoni
Alifungwa tena. Mahakama ilibatilisha hati yake ya mashtaka. Wewe hukusikia DPP ali-revoke msamaha baada ya Magu kufa, 2021.
 
Alifungwa tena. Mahakama ilibatilisha hati yake ya mashtaka. Wewe hukusikia DPP ali-revoke msamaha baada ya Magu kufa, 2021.
Hii sio kweli mkuu, utakuwa umepewa story na wanywa kahawa wa chini ya muembe. Ndo yale yale ya kumuhusisha JK na kesi yao, na wakati babu Seya alifungwa na utawala wa Mkapa.
 
Vaa vizuri mpenzi wangu, upendeze
Donge liwashike, mabusu motomoto
Mimi na wewe, mpaka kufaee mama yee!!


Uusiwasikilize haaaoo, wanaotaka kuharibu mapeeeeeeeeeeeeeeeenzi eeeeeeeee!!!
 
Hii sio kweli mkuu, utakuwa umepewa story na wanywa kahawa wa chini ya muembe. Ndo yale yale ya kumuhusisha JK na kesi yao, na wakati babu Seya alifungwa na utawala wa Mkapa.
Alifungwa chini ya utawala wa Kikwete
 
Naona hii familia imeamua ipotee kabisa kwenye masuala yao ya muziki. Siku hizi siwasikii kabisa kwenye media! Siyo huyo Babu Seya, wala mtoto wake Papi Kocha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…