Tetesi: Babu Seya kumrithi Captain Komba T.O.T

Tetesi: Babu Seya kumrithi Captain Komba T.O.T

nsharighe

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
1,441
Reaction score
2,220
Habari wanajamvi.

Leo tumeshuhudia kuachiwa huru kwa Wanamuziki maarufu nchini waliokuaa wakitumikia adhabu ya kifungo cha Maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto.

Babu Seya na mwanae Papii Kocha kwa msamaha wa Rais Magufuli leo wapo huru,
Habari nilizonazo kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha mapinduzi ni kwamna, wawili hao Baba na Mwana wanaenda kurithi nafasi ilioachwa na Hayati Captain Komba pale T. O. T band,

Kuelekea uchaguzi mkuu, kwa kuanza na uchaguzi mdogo Babu Seya na mwanae watatunga nyimbo zs kusifu na kutoa hamasa kwa chama cha mapinduzi..

Ni hayo tu.
 
Mkuu umeanza lini kupiga Ramli chonganishi? Kwenye suala LA Papii kocha huenda kuna siri kubwa sana nyuma yapazia,Ipo siku ukweli utachukua nafasi yake kama alivyopata kusema Gwigi wa kale wa Lugha ya Kiswahili Marehemu Shekhe Shaban Robati kua "Kweli isiposhinda Leo itashinda kesho" Ipo haja sasa Magazeti ya Ndgu yngu mmoja ambae nikada wa chama chetu kuandaa matamasha na hela itakayopatikana wawape japo 70% iwasaidie kuanzia maisha mapya maana amenufaika sana kwa kuandika habari za hawa watu
 
Habari wanajamvi.

Leo tumeshuhudia kuachiwa huru kwa Wanamuziki maarufu nchini waliokuaa wakitumikia adhabu ya kifungo cha Maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto.

Babu Seya na mwanae Papii Kocha kwa msamaha wa Rais Magufuli leo wapo huru,
Habari nilizonazo kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha mapinduzi ni kwamna, wawili hao Baba na Mwana wanaenda kurithi nafasi ilioachwa na Hayati Captain Komba pale T. O. T band,

Kuelekea uchaguzi mkuu, kwa kuanza na uchaguzi mdogo Babu Seya na mwanae watatunga nyimbo zs kusifu na kutoa hamasa kwa chama cha mapinduzi..

Ni hayo tu.
Wakifanya ivo watagawa mashabiki....trust me
 
Habari wanajamvi.

Leo tumeshuhudia kuachiwa huru kwa Wanamuziki maarufu nchini waliokuaa wakitumikia adhabu ya kifungo cha Maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto.

Babu Seya na mwanae Papii Kocha kwa msamaha wa Rais Magufuli leo wapo huru,
Habari nilizonazo kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha mapinduzi ni kwamna, wawili hao Baba na Mwana wanaenda kurithi nafasi ilioachwa na Hayati Captain Komba pale T. O. T band,

Kuelekea uchaguzi mkuu, kwa kuanza na uchaguzi mdogo Babu Seya na mwanae watatunga nyimbo zs kusifu na kutoa hamasa kwa chama cha mapinduzi..

Ni hayo tu.
Unaota
 
Wakati huo huo aliyewahi kuwa Waziri ktk Awam ya Nne Bi Gaudencia Kabaka amechaguliwa kuwa Mwkt mpya wa Umoja wa Wakimama wa CCM yaani UWT
 
Habari wanajamvi.

Leo tumeshuhudia kuachiwa huru kwa Wanamuziki maarufu nchini waliokuaa wakitumikia adhabu ya kifungo cha Maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto.

Babu Seya na mwanae Papii Kocha kwa msamaha wa Rais Magufuli leo wapo huru,
Habari nilizonazo kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha mapinduzi ni kwamna, wawili hao Baba na Mwana wanaenda kurithi nafasi ilioachwa na Hayati Captain Komba pale T. O. T band,

Kuelekea uchaguzi mkuu, kwa kuanza na uchaguzi mdogo Babu Seya na mwanae watatunga nyimbo zs kusifu na kutoa hamasa kwa chama cha mapinduzi..

Ni hayo tu.
Wawaache wa-recover, sio kuanza kuwatumia.
 
Habari wanajamvi.

Leo tumeshuhudia kuachiwa huru kwa Wanamuziki maarufu nchini waliokuaa wakitumikia adhabu ya kifungo cha Maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto.

Babu Seya na mwanae Papii Kocha kwa msamaha wa Rais Magufuli leo wapo huru,
Habari nilizonazo kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha mapinduzi ni kwamna, wawili hao Baba na Mwana wanaenda kurithi nafasi ilioachwa na Hayati Captain Komba pale T. O. T band,

Kuelekea uchaguzi mkuu, kwa kuanza na uchaguzi mdogo Babu Seya na mwanae watatunga nyimbo zs kusifu na kutoa hamasa kwa chama cha mapinduzi..

Ni hayo tu.
Yes
 
Hizi ramli zako tu alafu ataakienda ccm ni feeling zake ,kila mmoja anauhuru wa kuwaza anachopenda na sio kumpangia
 
WAKIMRITHI KOMBA NAHAMA CHAMA MAANA SISI MAASAI HATUJAZOEA KULAWITI NI MBAYA SANA NA NG'OMBE YETU INAKUFA, WAENDE BAKANA NA LAWITIANA HUKO
 
Wangeanza na "BABA NA MWANA TOUR" Wazunguke nchi nzima kumshukuru rais magufuli,
na nyimbo zao zilezile, wala wasihangaike kutunga mpya. Kiingilio 10,000 tu.
Dah, kwahili ccm wamempiga tobo kipa, 2020 ni wao na goli.
Wakipaisha mpira wajitafakari.
 
Kutoka kwa waliyokuwa wafiraji,walawitiji mpaka kuwa masupasta dah nchi hii ya ajabu sana

Ova
 
Back
Top Bottom