Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
Tafuta wimbo wao wa
"SALIMA"
Usikilize vizuri sana ndio tatizo
Nakupa kidogi tu
"oho! salimaaaaa
haaaasas x 2
nilikudanganya ukamuacha yeye....."
Ila UWT wakatengeneza watoto wao eti wamebakwa....ahaaaaa!
Chanzo ni Amina Chifupa, Jk alikuwa anakula na jamaa anakula, na ndicho kilichopelekea kifo cha Amina Chifupa na mmewe Mpakanjia, tafakari kuingia kwa Amina Bungeni na vifovyao vilivyokuwa vya utata. kulikuwa na Gazeti lililo kuwa likiitwa Maisha lilijaribu kutunga hadithi inayoelezea jambo hili matokeo yake lilipotezwa kwenye Urimwengu wa habari. sijui kama na mtunzi wa hiyo hadithi kama hajaozea Mwagwepande.