nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Yaani hao wanafamilia waluotendewa hayo maovu kama wanauhakika wasome hiyo kitu mzee machungu yao yataishia hapoUkiona ya tundulisu haijafanyika basi ujue ni kweli watu wakubwa walitekeleza hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hao wanafamilia waluotendewa hayo maovu kama wanauhakika wasome hiyo kitu mzee machungu yao yataishia hapoUkiona ya tundulisu haijafanyika basi ujue ni kweli watu wakubwa walitekeleza hilo
Ningebadili mpaka jinaTufanye kama Babu Seya angekuwa ndio baba yako mzazi ungefanyaje kwa mfano?
Angelkuwa mwanao ungelishauri ajitokeze?Miaka 14 ya Babu Seya na Papii waliyokaa jela kama kuna watoto waliobakwa sasa watakuwa wamezidi miaka 18.
Kama ni hivyo je haitakuwa jambo jema sasa wajitokeze watuambie kama kweli au magumashi?
Maana sijawahi kumwona hata mmoja ambaye amejitokeza kusema Babu Seya na wanawe walimbaka.
Huu ni wakati muafaka tuwaone ili tuwe na cha kuzungumza, vinginevyo kesi ilikuwa fake.
subiri wajeNinasema walibakwa kwa sababu mahakama ilidhibitisha pasina shaka.
Nachotaka kujua watu hawa wako wapi,wanafanya nini na wamechukuliaje msamaha wa Rais ikiwa pamoja na mwaliko wa wabakaji wao Ikulu.
Mtoto(wakati huo) mmoja akiitwa Gift Kapwapwa wakati huo akisoma darasa la kwanza Mashujaa primary-Sinza. Wakati wa tukio binti aligundulika na walezi wake kuwa anatoa harufu ukeni. Binti wa kazi alimwelezi mlezi wao kuwa alimwona Gift na Shs.200 ambayo alisema alipewa na Babu Seya....hiyo ni 2003.
Walikuwa watoto 10 wako wapi hawa. Wengine ni pamoja na Alisia Longino, Isabella Angonile, Agneta Sia nk.
Wako wapi kina Gift waliobakwa na Babu Seya na mwanaye?
Itakua blashi hakuingiza yote wakongomani hatariiiiIvi mtoto wa darasa la kwanza akipigwa pipe anatembea? Kumbuka pipe za kikongomani hasa baba yule ni Atari!! Huwa amuangalii anapocheza wimbo wake pendwa?
Majina sio siri bwana kwa tuiokuwepo enzi hizomkuu si ungwana kutaja majina yao hapa .
Waache Promo basi. Na siyo kila siku mara wanaalikwa, mara nini?Mambo mengine hayana umuhimu kwa sasa.
vp na ww unataka ukawabake upate msamahaNinasema walibakwa kwa sababu mahakama ilidhibitisha pasina shaka.
Nachotaka kujua watu hawa wako wapi,wanafanya nini na wamechukuliaje msamaha wa Rais ikiwa pamoja na mwaliko wa wabakaji wao Ikulu.
Mtoto(wakati huo) mmoja akiitwa Gift Kapwapwa wakati huo akisoma darasa la kwanza Mashujaa primary-Sinza. Wakati wa tukio binti aligundulika na walezi wake kuwa anatoa harufu ukeni. Binti wa kazi alimwelezi mlezi wao kuwa alimwona Gift na Shs.200 ambayo alisema alipewa na Babu Seya....hiyo ni 2003.
Walikuwa watoto 10 wako wapi hawa. Wengine ni pamoja na Alisia Longino, Isabella Angonile, Agneta Sia nk.
Wako wapi kina Gift waliobakwa na Babu Seya na mwanaye?
Hujaelewa nini usaidiwevp na ww unataka ukawabake upate msamaha