TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
Now atakuwa na miaka 17
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Amekuwa shoga siku hizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Now atakuwa na miaka 17
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
ninachoamini mimi ni kwamba, baba, na vijana wake (Familia) hawawezi kufanya ujinga kama huo, bora angewasingizia kuuza madawa ya kulevya kidogo inge make sense, Babu seya ni innocent na Mungu anajua!!
tarajia usanii ikiwemo "Kuachiwa huru""
Kama ulikuwa ukifuatilia mwenendo wa ile kesi, ni wazi hao watu wa familia walifanya ushenzi wa ajabu kwa vijana wetu na hiyo adhabu waliyopata haitoshi walitakiwa wahukumiwe kunyongwa mpaka wafe!!
Don't jump into conclusions...ile kesi imeshasikilizwa mara 2 wakaonekana wana hatia. Na ninvyofahamu mimi (kwa uelewa wangu mdogo wa sheria),2 - Daktari kuthibitisha kwa watoto wametendewa kitendo hicho (Daktari alithibitisha hilo, namfahamu Daktari aliyewafanyia uchunguzi wale watoto na ni kweli walifanyiwa hivyo, ripoti na picha ya athari walivyoharibiwa zipo kwenye mafaili yao)....Sioni jinsi gani Babu Seya na wanae watatoka hapo.kesi ya kubaka watoto/mtoto unahitajika ushahidi wa aina 2 tu kukutia hatiani...1 - Mtoto mwenyewe kusema kwamba ni mtu 'huyu' ndio kambaka (wale watoto walipoint kuwa babu Seya na wanae wamewabaka wakahadithia kwa ufasaha walivyofanyiwa),
zaidi ya hapo, mmoja kati ya majaji wanaoreview hiyo kesi ni jaji Nathalie Kimaro...soma historia yake wakati yuko mahakama ya Kisutu kuhusu kesi za ubakaji na kunajisi watoto!
mi nilisikia walibaka walikuwa wanatengeneza porno movie na hao watoto zinauzwa nje.
hii source yangu ni kubwa sana matola! huwezi amini ila ndo hivoRafiki unaniangusha, hata wewe unanaswa na cheap rumours kama hizo?
Ingekuwa kweli si yungeshapewa dvd au youtube tujionee wenyewe ili asionewe huruma?
Hizo video zinaangaliwa sayari gani?
Atleast issue ya ushirikina ndio hoja pekee inayoweza kufanya familia nzima kuji-involve na upuuzi huo.
narudia tena sijawahi kuona hakimu wa aina hii na hukumu ya aina hii ambayo hakimu aliamua kuweka maoni yake binafsi kwani kinachowatia hatiani washtakiwa katika kesi zote ni ushahidi na siyo maoni ya hakimu.
"Ni wajibu wa mahakama kutafakari ushahidi wa utetezi hata kama hauna uzito; sasa huyu Lyamuya katika hukumu yake amewataja mashahidi wa utetezi waliokuja kutoa ushahidi bila kueleza mashahidi kwa mapana walieleza nini!
"Kwa mkanganyiko huu uliofanywa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Lyamuya, siyo tu alikosea kisheria; nasema alifanya makusudi na alikuwa ameshaamua kuwapeleka jela warufani!" wakili Mabere Marando.
ndugu , Mahakama imeweka ngazi zote hizo kuona haki inatendeka , na ndio maana hata jopo la wasikiliza/wapitia hukumu husika kwa ngazi hiyo huwa makini zaidi, na zito zaidi.....! hiyo ni hatua ya mwisho...
usibeze ushahidi na maelezo ya mashahidi na mawakili wa kina Papi kocha.
Pamoja na maelezo ya daktari, ushahidi wa watoto husika mbona Nguza Mbangu and Francis Nguza waliachiwa baada ya kuwa wamekaa jela for some years ?
Mkenya tuliyeambiwa kuwa mtekaji wa Ulimboka alieleza ukweli mahakamani alivyotekwa na kulazimishwa kuiambia uongo mahakamani. Kama Nguza naye alibambikiwa ubakaji, angeieleza mahakama chanzo cha bifu lake na hao wabambikizaji, kama ni kula wake wao au vinginevyo. Potelea mbali hata angebaki gerezani lakini ukweli ungejulikana kwa umma, na pengine kwa ukweli huo siku moja angesamehewa adhabu yake.
Masikitiko yangu tu ni kwamba kama watu wanafabricate mpaka nyaraka za Usalama wa Taifa je ndio ije kuwa hiyo medical examinations?
Sioni namna ya Babu Seya kushinda kesi hii kama watu walishafabricate taarifa ya Dr. Na ukumbuke ni madoctor hawa hawa walio mahiri kwa utoaji mimba mitaani je anaweza kuacha offer ya 20 million kutoa taarifa ya uongo?
Siko hapa kuwanjia geshima Madoctor lakini tumeona kwa ushahidi wasomi kama kina Dr Bana wanavyoweza kutumiwa na watu kwa sababu ya njaa zao.
Ina tofauti na mundende?pamoja na kuuza sura ila hiyo mundende inanisaidia kunipa heshima mjini...