Babu Seya: Ufafanuzi juu ya uvumi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii


Jipe muda kidogo wa kusoma sheria ya makosa ya jinai kabla ya kupayuka.

Kwenye rufaa watoto wawili wa babu Seya waliachiwa huru na mahakama ya rufaa.
 
Hawa watu wa kuzusha habari hivi faida wapatayo huwa ni nn haswa?!
 

Aargh..... Nchi hii Inashangaza, eti Jeshi la Magereza linamsaka aliyeanzisha uzushi huu; wanawaogopa Global Publishers au???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…