Babu Tale afikishwa Mahakamani na kurudishwa tena rumande...

Kuna mdau kasema sio kesi hii kumbe, ni kesi ya Video Chafu

CC mahondaw

anashatakiwa kwa kutumia sheria ya mitandao ya mwaka 2015...

inasemekana walifanya vile ili kumuumiza RUGE siunajua boss ndio anasimamia shoo ya kadada ketu.....
 
anashatakiwa kwa kutumia sheria ya mitandao ya mwaka 2015...

inasemekana walifanya vile ili kumuumiza RUGE siunajua boss ndio anasimamia shoo ya kadada ketu.....
Duh, aisee.
Sasa Video ilifika fika vipi kwake?
Maana nimewaza pale labda angekamatwa Bill Nass labda.
 
Duh, aisee.
Sasa Video ilifika fika vipi kwake?
Maana nimewaza pale labda angekamatwa Bill Nass labda.

hiyo video haikuwahi kuwa kwa bill... acording to nandy mwenyewe... ilikuwa kwenye simu yake na akavunja simu yan unatoa simu alafu unaongeza hela nyingine ili upate simu kali zaidi kuna vitu alisahau kufuta....


mtu wa kwanza kukamatwa kwa hyo ishu ni jamaa wa udakutz.. hii inaendea wiki sasa kwa hyo yeye ndio kamtaja bwana mkubwa kuwa ndiye aliyempa kazi ya kupost hyo video
 
Anhaa,
Nimekupata Mkuu wangu.
So Pengine alipovunja alivunja kwa Babu tale au Jamaa yake na Tale labda.
 
Ufafanuzi.....

Tale ametiwa mbaroni kwa amri ya mahakama kuhusu kesi ya madai ya Bwana Mbonde ambaye anamdai Tale 240 Milioni,hivyo kesi haihusiani na taarifa ya makosa ya mtandao kwa kuvujisha video ya Nandy kama inavyosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
 
kweli mahakamani kuna baridi kali, kavaa sweta kabisa! duh
 
OK mimi mwenyewe nilishangaa, ujinga aufanye mwenyewe Nandy, kukamatwa akamate mwingine na mwenyewe nandy anakuambia video aliirekodi miaka miwili, iliyopita sasa babutale avujishe leo ili iweje cha msingi babutale atafute njia ya kumalizana na Ostaz mbonde la sivyo jela inamwita.
 
Duh!! huyo ustazi kweli nuksii,, ati alitaka mil700,, kwa content gani ss??

Unaeza kuta huyo Tale mwenyew kala mil 3 au 4 af ustaz anataka mil 250
 
sheria ni msumeno, wizi wa hakimiliki za wanyonge utaisha tu siku moja. peleka ndani huko.
 
Amedhurumu pesa ya watu
Deni halikimbiwi aisee ajichange change akalipe hela za watu.

Na usawa huu ulivyo tight kama bikra mill240 kuzipata watu wanaweza kumshikisha ukuta ili wamlipie au asubiri aende jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…