Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma zake zinapigwa bwana kwenye kipindi Cha block89 ya ijumaa ngoma yake ndo ilifungua dimba.Me nachofikiri me watu wanna expection kubwa Sana kuliko msanii mwenyewe yaani wanataka awe international Kama mond,rayvanny pamoja na mboso lakini wanashindwa kujua msanii mwenyewe ajafocus international level ndo maana ngoma zake anaimba slow focus yake ni hapa bongo bado ajafikiria international ndo kwanza ana miaka sijui 3 au 4 hivi.Lava lava mbona yko njema tu SEMA wasafi tv nayo nyimbo zake Kama vile wamezipa kisogo kwa siku za hivi karibuni.
Kihama au kiama?Nikki mbishi: mwenyezi mungu siku ya kihama usimsahau babu talent
Chawa Wa Mond huyoHuyo Babu tolu hana habari tena na kina Tunda na Madee?
Ana wimbo mmoja tu ambao naupenda, UKO MBALI wameimba na harmonizeQueen darleen wangempa kazi ingine afanye haeleweki anachofanya kabisa mie kwa upande wangu simuelewi anavyoimba jukeaani ndio hakuna kabisa lava lava yeye yupo vizur
Ameshaolewa jana mkuuQueen Darlene bora aolewe asafishe nyumba tu. Kwavile kaka yake ni Diamond hawezi kukosa mume wa kumuoa. Ni usha ushauri tu.