Babu Tale akiri kuna wasanii wa WCB nyota zao zimeshindwa kung’ara, aeleza hatua walizochukua

Babu Tale akiri kuna wasanii wa WCB nyota zao zimeshindwa kung’ara, aeleza hatua walizochukua

Lava lava mbona yko njema tu SEMA wasafi tv nayo nyimbo zake Kama vile wamezipa kisogo kwa siku za hivi karibuni.
 
Lava lava mbona yko njema tu SEMA wasafi tv nayo nyimbo zake Kama vile wamezipa kisogo kwa siku za hivi karibuni.
Ngoma zake zinapigwa bwana kwenye kipindi Cha block89 ya ijumaa ngoma yake ndo ilifungua dimba.Me nachofikiri me watu wanna expection kubwa Sana kuliko msanii mwenyewe yaani wanataka awe international Kama mond,rayvanny pamoja na mboso lakini wanashindwa kujua msanii mwenyewe ajafocus international level ndo maana ngoma zake anaimba slow focus yake ni hapa bongo bado ajafikiria international ndo kwanza ana miaka sijui 3 au 4 hivi.
 
Huyo Babu tolu hana habari tena na kina Tunda na Madee?
 
Lavalava anaweza, nashindwa kujua tatizo ni nini
 
Babu Tale kawachinjia baharini wasanii wake mwenyewe.

Meneja anatakiwa kuwa mtetezi wa wasanii, mapungufu yao wayamalize kwenye vikao vya ndani.

Mameneja wa ki Bingo RR skills ndogo sana.
 
Queen Darlene bora aolewe asafishe nyumba tu. Kwavile kaka yake ni Diamond hawezi kukosa mume wa kumuoa. Ni usha ushauri tu.
 
Queen darlin na lavalava ni kama wafanyakazi hewa tu, sioni wanachokifanya.
 
Queen darleen wangempa kazi ingine afanye haeleweki anachofanya kabisa mie kwa upande wangu simuelewi anavyoimba jukeaani ndio hakuna kabisa lava lava yeye yupo vizur
Ana wimbo mmoja tu ambao naupenda, UKO MBALI wameimba na harmonize
 
Queen Darlene bora aolewe asafishe nyumba tu. Kwavile kaka yake ni Diamond hawezi kukosa mume wa kumuoa. Ni usha ushauri tu.
Ameshaolewa jana mkuu
Screenshot_20191203-083654.jpg
 
Hata sijawahi kuelewa huyu queen darleen anaimba nini
 
Back
Top Bottom