Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
Jana mkuu wa kituo aliongea na enewz so tuliza ballSio kweli hizo habari ni mkuu gani wa kituo aliyetoa habari hizo? Tusimpakazie mkuu wa kituo wakati hajawahi kuongea na mtu yoyote.hata yule msaidizi wake aliongea na waandishi wakaandika wanavyojua wao.lkn kalapina akalitolea ufafanuzi kua hakutoloka alikwenda kuchukuliwa kumalizia project walioianza.kabla na baada kutoka sorber