Babu Tale alivalia njuga suala la Roma, Amtaka RC Makonda aseme wapi alipo

Babu Tale alivalia njuga suala la Roma, Amtaka RC Makonda aseme wapi alipo

Hata yule Mrisho mpoto nae ni mmoja wa puppies wa Bashite . We need to identify nani yuko nasi na nani yuko nao.
 
View attachment 492455View attachment 492456View attachment 492458
Asubuhi ya leo katika hali ya kushangaza ambayo wajuzi wa mambo walijua haina nia njema, BABU TALE alipost kuhusu kutekwa kwa ROMA NA MONI. Katika post yake bwana TALE alisema yeye anataka 'swahiba wake' ndugu Paul Makonda aeleze umma ni wapi walipo kina Roma eti kisa yeye ni M/Kiti wa Kamati ya Ulinzi.

Tale aliwataka wasanii wenzake kukutana kwenye studio za Tongwe ili wapange cha kufanya. Wasanij wengi walifika hapo walipoambiwa wakutane, wakasogea mpaka Coco beach na hapo TALE alithibitisha uwakili wa shetani.

Tale ambaye awali alionekana kuitisha Mkutano eti alisema Mkutano ukafanyike nyumbani kwa Makonda ( NONSENSE ). Nusu ya wasanii waliokuwa pale tulikataa, na wachache walienda huko kwa Makonda.

Tangu awali nia ya TALE ilionekana ; amepanga na Makonda ili watu waanze kumzungumzia Makonda kisha akijfanye shujaa eti afanikishe kupatikana kwa kina Roma. Wanacheza mchezo wa kipuuzi kwenye maisha ya watu kwa lengo la kumrudisha makonda kwenye vinywa vya watu. Juzi hapa Makonda kaenda Ofisini kwa kina Babu Tale ( WASAFI ) lakini kiki ile ikafeli.

Hivi sasa wakati watu wanahisi 'Bashite' kuhusika kwenye utekaji, TALE anajaribu kucheza na akili za watu kumsaidia Bashite.

[HASHTAG]#WAPUUUZWE[/HASHTAG].
Wacha unafiki,hiyo Chat ya wasapu hata mimi naweza kuitengeneza tu feki
 
This is Non Sense!!! Mimi Nilijua Tu Kuna Maigizo Sababu "Babu Tale" Hana Ujasiri wa Kumsema Makonda Vibaya



"Babu Tale" You are a Stinking Sh**T

giphy.gif
Hahahaha
 
Kama polisi hawana habari. Wananchi tuamke tujilinde wenyewe dhidi ya hawa watoa roho wa bashite. Mtu akikujia usk kwa sijui mahojiano gani muwahi na panga hamna jinsi.. Inchi imekaa kushoto hii
hahahahaha mkuu unanifanya nicheke kwenye mambo ya huzuni
 
Habari wakuu poleni kwa majukumu,,
Natabiri usiku ya kesho kuwa ni ya baraka sana kwa mkuu wetu wa mkoa Paul makonda baada ya kupita kwenye kipindi kugumu cha kutupwa na media,, kwa sababu mbali mbali zilizitokea hapo nyuma lakini siku ya kesho ataenda kuwapa watanzania jibu sahihi la wapi alipo ndugu yetu Roma na wenzake au nini hasa kilimkuta Roma kwan yeye ndiye mwenyekiti wa usalama wa mkoa,,
Nawasilisha
 
Wakuu mi nashangaa kuona Mkuu wa mkoa yupo kimya tu. Hata hajishughurishi juu ya matukio ya watu kupotea mkoani kwake.

Au ndyo tuhisi kuwa na yeye anausika? Maana inasemekana kuwa kwenye mambo yanayomgusa huwa hayashadadii. Kwa mfano swala la wafanyakazi hewa alilishikia kidedea ila tulipofika kwenye wafanyakazi wa vyeti fake alikuwa kimya. Hata hajawai sikika akizungumzia vyeti fake vya wafanyakazi.

Anavyokaa kimya kwenye mambo kama haya, sisi tunaoread between the line tunakuwa tumeisha pata jibu.

Hivyo hivyo kwa mkulu.anavyokaa kimya kwa mambo kama haya na yeye anatupa question mark. Ni kama vile alivyomute kwa Lugumi na vyeti fake vya bashite.
 
Wakuu mi nashangaa kuona Mkuu wa mkoa yupo kimya tu. Hata hajishughurishi juu ya matukio ya watu kupotea mkoani kwake.

Au ndyo tuhisi kuwa na yeye anausika? Maana inasemekana kuwa kwenye mambo yanayomgusa huwa hayashadadii. Kwa mfano swala la wafanyakazi hewa alilishikia kidedea ila tulipofika kwenye wafanyakazi wa vyeti fake alikuwa kimya. Hata hajawai sikika akizungumzia vyeti fake vya wafanyakazi.

Anavyokaa kimya kwenye mambo kama haya, sisi tunaoread between the line tunakuwa tumeisha pata jibu.

Hivyo hivyo kwa mkulu.anavyokaa kimya kwa mambo kama haya na yeye anatupa question mark. Ni kama vile alivyomute kwa Lugumi na vyeti fake vya bashite.

Eti mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. My foot! Kumbe majambawazi tu.
 
Yeye sharti lake apige nao tu selfie wasanii atajua Roma ataenda kumtoa wapi
 
Niseme jambo moja.

Sisi watu wa Muheza hatuna pale mtu anapokufa kwa mapenzi ya Mungu

Lakini mtu akidhulumiwa nafsi yake na ikapelekea kupotea kwa roho yake....aisee hiyo haikubali!

Kama huyo mtu wetu wa Muheza atadhulumiwa uhai wake basi wahusika wajiandae kwa mapambano

Chezea hangine sio hapa
 
Wakuu mi nashangaa kuona Mkuu wa mkoa yupo kimya tu. Hata hajishughurishi juu ya matukio ya watu kupotea mkoani kwake.

Au ndyo tuhisi kuwa na yeye anausika? Maana inasemekana kuwa kwenye mambo yanayomgusa huwa hayashadadii. Kwa mfano swala la wafanyakazi hewa alilishikia kidedea ila tulipofika kwenye wafanyakazi wa vyeti fake alikuwa kimya. Hata hajawai sikika akizungumzia vyeti fake vya wafanyakazi.

Anavyokaa kimya kwenye mambo kama haya, sisi tunaoread between the line tunakuwa tumeisha pata jibu.

Hivyo hivyo kwa mkulu.anavyokaa kimya kwa mambo kama haya na yeye anatupa question mark. Ni kama vile alivyomute kwa Lugumi na vyeti fake vya bashite.
Pamoja na kwamba yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoani kwake, hawez akapoteza muda kum release Roma wakati anajua hawez kuwekwa kwenye font fegi za magazeti.
 
Back
Top Bottom