Babu tale amekili kuwa yeye ni mganga ila muziki ndio ulimtoa huko

Babu tale amekili kuwa yeye ni mganga ila muziki ndio ulimtoa huko

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
D88CD90D-7E4F-42AD-9AC6-0C6E190BD9A3.png
 
Mi huwa nakaona kambea mbeaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee huyu jamaa itakuwa anafanya kazi mbili nini mana msanii ukikataa kukaa chini yake hata uwe na kipaji kama michael Jackson utadorora rejea kwa keisha tundaman na wengine wengi
 
Aisee huyu jamaa itakuwa anafanya kazi mbili nini mana msanii ukikataa kukaa chini yake hata uwe na kipaji kama michael Jackson utadorora rejea kwa keisha tundaman na wengine wengi
Ha ha ha
 
Kumbe tale ni tapeli anaejificha kwenye kichaka cha uganga?
 
Back
Top Bottom