manager wa msanii haingilii chumbani tu diamond ili sense mahali lazima manager aandae bodyguards afanye uchambuzi wa madhala ya image ,na kujibu kwa niaba take ,hata ukitaka kuongea na diamond unaanzia kwake ,diamond hakwenda msibani kama anaenda kwa rafiki alienda kama msaniiSasa mbona nae anatafuta kiki kwa maneno ambayo hayakumuhusu yeye kwanini asi respond diamond alieambiwa?
Umeneja wake unafanya kazi akiwa wcb sio hadi mitandaoni na uraiani fala sana huyu pimbi. Mbona diamond alipo pigwa ban na basata hakubwatuka inamaana umeneja kaanza juzi?
Sent using unknown device
Ajaja badala ya hajaja,manager huyo[emoji3]Manager anaandika izi badala ya hizi,anaweza kuuchambua mkataba wa msanii wake Kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrisho aache kutafuta kiki kwa piki pikiHii sawa kwani angempigia simu ingekuwaje mpk a post hadharani ukisikia uchonganishi ndio huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anatafuta kiki ni Wa kupuuzwaMrisho mpoto kweny hili kafeli sana,yani mpoto hakuwa na namba ya diamond hadi aende public? Alaf utamuitaje mtu as if aligoma kwenda msibani.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mbona unatutukana wazaramo mkuuNyumba ya mzaramu haikosi mbilimbi.......hahahaa!
Anapaka dodo Dada Yangu Numbisa anaijuaMjomba siku hizi anajichubua au editing tu?
Pole sanaManager anaandika izi badala ya hizi,anaweza kuuchambua mkataba wa msanii wake Kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kubishana na sevenhuyo immature manager ndio kamfikisha diamond alipo...nioneshe mature manager unayemfahamu wewe na msanii wake?
Jamaa anatafuta umarufu kwa nguvuMpoto ushamba tu unamsumbua
Sent from my Iphone using Tapatalk
Nimemnukuu Mrisho Mpoto!
Aliyekwambia kuwa Mrisho mpoto ni mzaramo ni nanNimemnukuu Mrisho Mpoto!
Soma thread yote hadi walikozungushia wino mwekundu!
Amna noma mzeeSoma thread yote hadi walikozungushia wino mwekundu!