aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Wadau meneja anayejiita msujudiwa ma muziki huku sasa maisha yake yakitegemea kuishi kupitia Diamond amemterekezza Rapa mahili Chid benzi. Jamaa kwa mbwembwe alimpeleka sober house kisha. Baadaye akafanya track pale wasafi records Akiwa amemshirikisha Raymond unaambiwa amemterekeza baada ya kuona return yake ya matibabu hajirudi wakati yeye alimbebesha sana mzigo Enzi zake sasa Chid benzino yupo zake ilala Hana hamu